Homeboy255
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 203
- 81
HESLB kesho mzigo unatema...hongera kwa wale wote mliochaguliwa.View attachment 1623757
Bado bhana mbon kwenye account amna kitu
HESLB kwani hawatoi majina?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]acha masihara kakaWote tumepata
Ambao tutajilipia wenyewe tunawachora tu .Anyway,,, Mungu atasaidiaPresha ya vyuo imeisha sasa imebaki presha ya mikopo,hakuna kupoa [emoji119]
Walioomba Mkopo 95000+ budget 54000Wote tumepata
Naona mazingira ushayazoea mkui!![emoji23][emoji23] yupo chief
Mimi wameandika hivi,HESLB kwani hawatoi majina?
Hii inamaanisha umepata au allocation ipo njiani? Naona hata ambao hawajapata Admission ujumbe ni huu unatokea .Mimi wameandika hivi, View attachment 1624421
Tayari, nimepataHii inamaanisha umepata au allocation ipo njiani? Naona hata ambao hawajapata Admission ujumbe ni huu unatokea .
Mkuu nipe... Maujanja ya msosi na mishe zingine UDOM.... Humanities and social scienceNaona mazingira ushayazoea mkui!!
Umechaguliwa sababu uliombaWajameni nimechaguliwa udsm botanical science..niende diploma au nikakomae hivo hivo
Wanajifanya wastaarabu [emoji23]Guys mtu akikosa mkopo anaandikiwajwe
Dogo njoo PM nikupe maujanja ya UDOM tena niko mitaa hiyo hyo ingawa sio Collage hiyoMkuu nipe... Maujanja ya msosi na mishe zingine UDOM.... Humanities and social science