Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 491
anakutishia wewe
Nitetee basi.. Nipe hifadhi
anakutishia wewe
Nime kufollow tena na huku Am so sorrry leo nipo na weweMwanaume akinuna mi naonaga kama ufyatu, mdomo unavutwaa vishavu vinavimba vinakua kama vipulizo vya Ubarikio....
Yani mwanaume anaenuna ni sawa na......nitamalizia baadae
Weee usiombe mnuno wa mwanaume, ni anavimba had unahisi atapupu tikiti sasa
Mpendwa ni tabia gani lakini hii?Mpendwa yaishe basi.
Nime kufollow tena na huku Am so sorrry leo nipo na wewe
hahahah muwe nahuruma jamani...eti apupu tikiti...Dah bibi angekusikia angekufinya kwenye mkono!
Kila ninaposoma thread za vijana napata kizungu zungu. Anyway, I had my share, endeleeni!
Mpendwa ni tabia gani lakini hii?
Yani mwanaume mzima anavuta mdomo, sharubu zinajikusanya anakua kama dume la nyau....
Hahhahhaha nimeimagine jinsi sharubu zinavyojikusanya,...
Mpendwa ni tabia gani lakini hii?
Yani mwanaume mzima anavuta mdomo, sharubu zinajikusanya anakua kama dume la nyau....
Tusamehe bure babu
Weee mwanaume akinuna anavimba hadi unaogopa, yani kama kuna papai karibu mpe ale lilainishe something something .....anaweza kupupu tikiti ooohhhh
Haa sisi si ndo wa zee wa Lunch masaa matatu , tunaenda Lunch officin tunarudi tisaaUmeacha shughuli? Shauri ako thubutu kukutwa na magufuli
Sawa ila mwanaume kununa uboyadah! tusamehe basi...
Dah hakuna kitu kinanoboaga kama kuona mwanaume kununa teh nimemkumbuka ticha mmoja alinifundisha advance, alikua anapenda kusema "mbona umenuna kama nyuma" ha ha ha hata mwanaume akinuna anafanana na nyuma lolKununa noma. Ila wengine ni victims wa ego. Pozi sometimes haziepukiki. We learn to control it as we age.