little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 558
Mapenz bana.... Gubu Lina cost wakat mwengine
Ngoja kwanza. Huyo Ticha muhuni sana, ye kapaonaje huko nyuma?Dah hakuna kitu kinanoboaga kama kuona mwanaume kununa teh nimemkumbuka ticha mmoja alinifundisha advance, alikua anapenda kusema "mbona umenuna kama nyuma" ha ha ha hata mwanaume akinuna anafanana na nyuma lol
Ngoja kwanza. Huyo Ticha muhuni sana, ye kapaonaje huko nyuma?
mtoto mzuri huyu lakini anamatusi,jamani ww kwanini sasa,Sawa ila mwanaume kununa uboya
mtoto mzuri huyu lakini anamatusi,jamani ww kwanini sasa,
Daah hilo busu refu kuliko hasheem thabit sijui ndo likoje. Na huo uji wa choroko sasa teh
Mbona hilo busu halijafikia hata urefu wa miguu yangu? Afu nimegoma kulipokea, si umetoka kutumind eti "tunakubusu mara tatu nne" tehMmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahh!!!!!
Mbona hilo busu halijafikia hata urefu wa miguu yangu? Afu nimegoma kulipokea, si umetoka kutumind eti "tunakubusu mara tatu nne" teh
Mpendwa ni tabia gani lakini hii?
Yani mwanaume mzima anavuta mdomo, sharubu zinajikusanya anakua kama dume la nyau....
Weee mwanaume akinuna anavimba hadi unaogopa, yani kama kuna papai karibu mpe ale lilainishe something something .....anaweza kupupu tikiti ooohhhh
Dah hakuna kitu kinanoboaga kama kuona mwanaume kununa teh nimemkumbuka ticha mmoja alinifundisha advance, alikua anapenda kusema "mbona umenuna kama nyuma" ha ha ha hata mwanaume akinuna anafanana na nyuma lol
Teh tutawabusu tu mara 6 sita, Hamna namna. Hatutaki kupeana mikononimeli summerize........pelekeni 'uzungu' wenu huko!
Teh tutawabusu tu mara 6 sita, Hamna namna. Hatutaki kupeana mikononimeli summerize........pelekeni 'uzungu' wenu huko!
Duuh..Yani hata kama nilipanga kununa imebidi nighairi tu..Mtt una balaa ww
Heeee ninetukana wapi???
Hiyo term kununa mnaitumia vibaya, eti mtu katumia hela zangu vibaya nikimuuliza anasema nimenuna. Halafu wanawake wengi wanalipenda sana hilo neno tunavumilia sana ila kuna siku mtu atakula kelubu ya mdomo ili hako kamdomo kavimbe kama kindege ndo tuone nani kanuna sasa
Teh tutawabusu tu mara 6 sita, Hamna namna. Hatutaki kupeana mikono
Hiyo term kununa mnaitumia vibaya, eti mtu katumia hela zangu vibaya nikimuuliza anasema nimenuna. Halafu wanawake wengi wanalipenda sana hilo neno tunavumilia sana ila kuna siku mtu atakula kelubu ya mdomo ili hako kamdomo kavimbe kama kindege ndo tuone nani kanuna sasa
[emoji18] [emoji18] it's "tutawabusu tu" and not "nitakubusu tu". I be kissing my man and my dolls will be kissing their gents too... anything wrong darlin?When he be mackin', it's a sin. When she be flirtin', it's not a scene. But all right. Better them, than we.