Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,162
Tuna wakati mgumu sanaDED wa Nachingwea kabla hajateuliwa alikuwa Marekani akifanya kazi…!Wamerekani walimwamini wakampa kazi leo Rais Magufuli anamwambia hajui kazi ANAFANYA KAZI ZA KIPUMBAVU NA ANYWE MKOJO WAKE……!Haya ni matusi makubwa sana kwa mtu mzima tena mtumishi wa Umma!
Inasikitisha sana!