Hahaha kwahiyo,yeye aliemsema ded ni kipumbavu?"Alikuwa anafanya kazi ya kipumbavu", ebu digest hii sentenso kwanza!
Sijui ni jeuri, dharau au ni utemi...sjui. Nina mke, michepuko, watoto, marafiki, ninaowaongoza, ndugu na jamaa wengine... alafu mbele za watu unaniita mpumbavu...unanikosea sana. Na katika chaguzi matokeo nitangaze watu wako... Daaah dunia haina usawa. Haiwezekani...haiwezekani...haiwezekani
Wahusika akili kumkichwa...
Tukutane kwenye kutangaza matokeo #2020
Nawasilisha!!!!
[emoji3][emoji3][emoji3]taifa la wajinga‘.. Wapumbavu na vilaza Wakubwa nyie, visibility study ya Chujio tu ichukue Miezi sita unategemea wapiga kura wanywe Mkojo wako?!...’
Wananchi... wanapiga Makofi
‘... Nyie Wana Masasi mliochoma Ambulance na ofisi za Ardhi ni Wapumbavu ...’
Wananchi wanapiga Makofi na Vigelegele..
‘.. Wapumbavu na vilaza Wakubwa nyie, visibility study ya Chujio tu ichukue Miezi sita unategemea wapiga kura wanywe Mkojo wako?!...’
Wananchi... wanapiga Makofi
‘... Nyie Wana Masasi mliochoma Ambulance na ofisi za Ardhi ni Wapumbavu ...’
Wananchi wanapiga Makofi na Vigelegele..
Yamekua mapya Haya? Tunaongozwa na chizi bado maswali ya nini? Tuvumiliane lakini tukipata wasaha tuchukue hatua watanzania CCM sio mama yetu mzazi wala wakufikia tuwakatae sauti zetu hatakama hazitaheshiwa zitasikika.
Niwaombe Watanzania wenzangu huyu ndugu dereva wetu awahishwe hospitali ya MILEMBE , nikiri hadharani DEREVA anaumwa tukimuacha atatumbukiza gari kwenye shimo tutakufa wote. Mganga mfawidhi wa MILEMBE tafadhali leta ambulance.
Lugha yetu ni ngumu Sana kuitwa mpumbavu sio tatizo shida Ni jnsi unavo lipokea so sad
Waaacge wavune upumbavu wao, wanapenda sana maisha ya Dezo hao MADED kisai kwamba anayewatumia anawaona kama ni HAMNAZO.Sijui ni jeuri, dharau au ni utemi...sjui. Nina mke, michepuko, watoto, marafiki, ninaowaongoza, ndugu na jamaa wengine... alafu mbele za watu unaniita mpumbavu...unanikosea sana. Na katika chaguzi matokeo nitangaze watu wako... Daaah dunia haina usawa. Haiwezekani...haiwezekani...haiwezekani
Wahusika akili kumkichwa...
Tukutane kwenye kutangaza matokeo #2020
Nawasilisha!!!!
Napongeza na naunga Mkono tena kwa 100% hao wanaoitwa Wapumbavu waendelee Kuitwa hivyo hivyo kwani wanapenda Kufanya Kazi kwa Mazoea, Wazembe na ' Wapigaji ' watupu katika maeneo yao ya ' Uwajibikaji ' walipo. Katika hili wala siwatetei na nipo pamoja na huyo anayewatukana hivyo na namuomba asichoke ' Kuwatukana ' hadi wabadilike. Tanzania ya sasa siyo ya Kubembelezana au Kudekezana bali ni ya Kazi Kazi na ' Result Oriented ' pekee. Endeleeni na ' Unafiki ' wenu wa Kuwatetea hao Watendaji ambao wanawachelewesheeni Maendeleo ambayo kila Uchao mnayalilia.
‘.. Wapumbavu na vilaza Wakubwa nyie, visibility study ya Chujio tu ichukue Miezi sita unategemea wapiga kura wanywe Mkojo wako?!...’
Wananchi... wanapiga Makofi
‘... Nyie Wana Masasi mliochoma Ambulance na ofisi za Ardhi ni Wapumbavu ...’
Wananchi wanapiga Makofi na Vigelegele..
Nilisikitishwa na lugha Za mkuu Sana japo mm ni mfuasi sugu lakini si lugha ya kiongozi mkuu wa nchi
Huko Marekani alikuwa anafanya kazi ya kipumbavu!
Hata kama lakini sio kumshushia heshima kias icho
HahahahhahahahahahahaNimejarbu kuvaa uhusika wa maDED