Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
Kutokana na mijadala inayoendelea humu ndani. Nilitaka kujua mawazo ya watu kwamba nani angefanya nini na kwanini katika hali ya nchi kama anavyoiona mtu. Nafikiri hili nalo laweza kuibua changamoto kwa viongozi wetu. Napenda watu watoe IMMEDIATE measures tuu. Then tujadili tuone kama zinaweza saidia kupunguza matatizo tuliyonayo.
Binafsi Ningefanya yafuatayo kwa kuanzia:
1. Najitafutia ulinzi wa hali ya juu na wa kuaminika ya watu watakao nilinda hata ikiwezekana nakodisha nje.
2. Natangaza hali ya hatari nchi nzima "state of emergence" - Swala hili litaniwezesha kufanya mabadiliko ya haraka bila kupata vipingamizi vya kisheria na kikatiba. Mfano kumfukuza Jaji Mkuu, Kumfukuza Mwanasheria Mkuu, Kumfukuza Bosi wa PCCB, Kumfukuza CAG etc
3. Nita design mifumo (systems) mipya au kuboresha iliyopo na kuteua wasimamizi ninaowaamini kuhakikisha inafanya kazi. Hapa sitacheka na mtu ni swala la kufuata taratibu kama zilivyoainishwa kwenye katiba, sheria etc au mtu anaipata atakapo kwenda against. Itajumuisha kuidentify watanzania wachache wenye uwezo mkubwa kuendesha hii mifumo. Kwenye hili la kuidentify hata nikichukua gharama kiasi gani it does not matter swala ni ku-identify watanzania wenye uwezo irrespective of chama. Moja kwa moja Mtu kama Magufuli hatakosekana kwenye team yangu.
Hivi vitakuwa vipaumbele vyangu vya kwanza....
Naomba nione michango yenu. Mnafikiri vipi kuhusu hili au ungeanza na nini? WEWE UNGEFANYAJE?
Ni katika harakati za kuamsha fikra endelevu.
Binafsi Ningefanya yafuatayo kwa kuanzia:
1. Najitafutia ulinzi wa hali ya juu na wa kuaminika ya watu watakao nilinda hata ikiwezekana nakodisha nje.
2. Natangaza hali ya hatari nchi nzima "state of emergence" - Swala hili litaniwezesha kufanya mabadiliko ya haraka bila kupata vipingamizi vya kisheria na kikatiba. Mfano kumfukuza Jaji Mkuu, Kumfukuza Mwanasheria Mkuu, Kumfukuza Bosi wa PCCB, Kumfukuza CAG etc
3. Nita design mifumo (systems) mipya au kuboresha iliyopo na kuteua wasimamizi ninaowaamini kuhakikisha inafanya kazi. Hapa sitacheka na mtu ni swala la kufuata taratibu kama zilivyoainishwa kwenye katiba, sheria etc au mtu anaipata atakapo kwenda against. Itajumuisha kuidentify watanzania wachache wenye uwezo mkubwa kuendesha hii mifumo. Kwenye hili la kuidentify hata nikichukua gharama kiasi gani it does not matter swala ni ku-identify watanzania wenye uwezo irrespective of chama. Moja kwa moja Mtu kama Magufuli hatakosekana kwenye team yangu.
Hivi vitakuwa vipaumbele vyangu vya kwanza....
Naomba nione michango yenu. Mnafikiri vipi kuhusu hili au ungeanza na nini? WEWE UNGEFANYAJE?
Ni katika harakati za kuamsha fikra endelevu.
Last edited: