Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,197
A love that I never have.
A love that has been elusive during all these years.
A love that someday I'll ever have
Mmmmhhhhhhhhhhhhhh!!!
A love that I never have.
A love that has been elusive during all these years.
A love that someday I'll ever have
Au ndo umenichaagua hivyo??
Tukizungumzia kinadharia (au hata kikweli kweli), je hapa JF ni nani ambaye unaona ungeweza kutoka naye kama mtu na rafiki yake wa kimapenzi? Ni mwanachama yupi ambaye unaona au kudhani unaendana naye kiasi cha kama ungeweza au ingewezekana ungependa kutoka naye?
Hii mada ni kwa wote...akina dada pamoja na akina kaka. Haina maana kwamba ukisema ningependa kutoka na fulani basi huyo fulani ndio adhanie kuwa tayari umeshamkubalia kutoka naye. Si hivyo hata kidogo ingawa kama wenyewe mkija mkielewana kihivyo baadaye basi hiyo itakuwa ni juu yenu.
Yaani nijikute tu!
Yaani ujikute tu home kwangu au??
Yetoni!!!!
Duuh dizaini kama mabinti hawanioni vile wakati kila siku wananiPM
ila kila siku
Unamaanisha getoni au ???
Halafu wewe!
Raha sana kuja geto kwange eehhhhhh!!!!!!!!!!!
We endelea tu
Nakupendeaga hapo tu
Huwa sio mbishi sana ......!!!!!!!!
ngoja nijitie umbea!!
miss chaggaaaaaaaa!!!! huyu huku mtzmweusi anasema etiiiii....!!!
anasemaaaaa...!!!!
Ningependa ..... kuhave fun sio kudate
Invisible kama yuko Busy na JF nitaangalia back up
Sikuwepo mkuu ila nimerudi
rala1 jamaniTukizungumzia kinadharia (au hata kikweli kweli), je hapa JF ni nani ambaye unaona ungeweza kutoka naye kama mtu na rafiki yake wa kimapenzi? Ni mwanachama yupi ambaye unaona au kudhani unaendana naye kiasi cha kama ungeweza au ingewezekana ungependa kutoka naye?
Hii mada ni kwa wote...akina dada pamoja na akina kaka. Haina maana kwamba ukisema ningependa kutoka na fulani basi huyo fulani ndio adhanie kuwa tayari umeshamkubalia kutoka naye. Si hivyo hata kidogo ingawa kama wenyewe mkija mkielewana kihivyo baadaye basi hiyo itakuwa ni juu yenu.
Hapa nisijegombana JF kila mmoja na wake