balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,459
- 12,584
Ni miaka kama minne au mitatu hivi, nilikutana na dada mmoja ambaye alikuwa na muda mfupi Toka afiwe na mume wake.
Tulijikuta tumeingia kwenye mapenzi Hadi akahamia kwangu, nilijikuta nimekuwa addict wa K yake ingawa likuwa ananikwaza sometime.
Nilikuwa najihisi kuchakata kila wakati na nikawa nafuatana naye kila mara. Alikuwa n maneno Fulani hivi ya kukera lakini mambo yalienda namna hiyo.
Nikatokea kuijua ID yake hap JF nikawa namfuatilia kimtindo, siku ya siku nikakuta ameniandika anaomba ushauri.
Alidai namgonga sana ,mara 3 kwa siku ,akizingua nampiga na kwamba nakula gambe sana, napenda movie za akina igwe na kushinda JF.
Aliniponda sana na wadau wengi walimuunga mkono na wengine kunitetea.
Tulijikuta tumeingia kwenye mapenzi Hadi akahamia kwangu, nilijikuta nimekuwa addict wa K yake ingawa likuwa ananikwaza sometime.
Nilikuwa najihisi kuchakata kila wakati na nikawa nafuatana naye kila mara. Alikuwa n maneno Fulani hivi ya kukera lakini mambo yalienda namna hiyo.
Nikatokea kuijua ID yake hap JF nikawa namfuatilia kimtindo, siku ya siku nikakuta ameniandika anaomba ushauri.
Alidai namgonga sana ,mara 3 kwa siku ,akizingua nampiga na kwamba nakula gambe sana, napenda movie za akina igwe na kushinda JF.
Aliniponda sana na wadau wengi walimuunga mkono na wengine kunitetea.