GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Mi maoni yangu katika katiba mpya kusiwepo na sera za ksiasa kabisa,na badala yake kuwepo na sera za maendeleo,amani na uhuru kabisa,pia katiba izingatie mila zetu na culture zetu na lugha zetu.
Lakini kwa hali ilivyo anza katika mchakato huu,hii katiba inaonekana imebezwa sana kisiasa zaidi,kwani ccm tayari wameshalazimisha ziwemo sera zao ambzo sera hizo hutumia katika siasa zao na kufaidika wao kibinafsi kabisa.
Tumeona makada wa ccm wakiongea juu ya sera hizo za kisiasa zienziwe na ziwemo ndani ya katiba ili waendelee kuwatawala wananchi kwa tamaa zao binafsi,na kuwanyima uhuru wananchi kuamua wanacho kiamua nini wanataka katika katiba hio.
Ni nyema JK afahamu kuwa hii katiba ni muhimili wa nchi,kama anataka kuweka amani ya nchi na vizazi vijavyo,ni vyema katiba hii wakaachiwa wananchi wakajidili na kutoa maamuzi yao,na kuachana mambo ya kisiasa,tuweke taifa mbele,viongozi waelewe kuwa leo wapo kesho hawapo,maisha ni mapito tu,cha kujiuliza jee nimewafanyia nini na nimeiyandalia nini nchi yangu na vizazi vyangu nilivyo viacha ?
Lakini kwa hali ilivyo anza katika mchakato huu,hii katiba inaonekana imebezwa sana kisiasa zaidi,kwani ccm tayari wameshalazimisha ziwemo sera zao ambzo sera hizo hutumia katika siasa zao na kufaidika wao kibinafsi kabisa.
Tumeona makada wa ccm wakiongea juu ya sera hizo za kisiasa zienziwe na ziwemo ndani ya katiba ili waendelee kuwatawala wananchi kwa tamaa zao binafsi,na kuwanyima uhuru wananchi kuamua wanacho kiamua nini wanataka katika katiba hio.
Ni nyema JK afahamu kuwa hii katiba ni muhimili wa nchi,kama anataka kuweka amani ya nchi na vizazi vijavyo,ni vyema katiba hii wakaachiwa wananchi wakajidili na kutoa maamuzi yao,na kuachana mambo ya kisiasa,tuweke taifa mbele,viongozi waelewe kuwa leo wapo kesho hawapo,maisha ni mapito tu,cha kujiuliza jee nimewafanyia nini na nimeiyandalia nini nchi yangu na vizazi vyangu nilivyo viacha ?