johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo.
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi.
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa.
Karibu
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi.
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa.
Karibu