duh aisee
Hapo hakuna cha kuuliza anatakiwa tu kuachana naye na huyu Mhuni alee motto wake. Yaani wanaume huku ana mwanamke huku anataka yaan yanatamaa kama mapaka. Siyapendi mimi. Kwanini lakini. na hapo ukimuuliza atasema samahani ilikuwa shetani amenipitia huyo shetani kwa wanaume kila siku. Waende zao huko.