Ungemjibu nini huyu mtoto??

Ungemjibu nini huyu mtoto??

saddyy

Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
58
Reaction score
54
UNGEKUWA NDIO MZAZI UNGEMJIBU NINI HUYU MTOTO????..


MTOTO ana wauliza WAZAZI wake

"Hivi BABA na MAMA j,, mnaweza kutoa gari na kumpa house girl ??"

WAZAZI wanajibu, "gari letu linathamani sana hatuwezi kumpa house girl"

MTOTO tena ,, "Je; mnaweza kumpa house girl ATM card pamoja na password yake??"

WAZAZI "Ebooos wemjinga nn...(kwa hasira hatuwezi...) anaweza kuiba fedha zote halafu tukawa masikin .. pesa zetu zina thamani na malengo.."

MTOTO "vyenye thamani vyote hamtaki kumuachia house girl... mbona mimi mnaniacha na hous girl kwani, mimi sina thamani wala malengo yoyote kwenu?
 
UNGEKUWA NDIO MZAZI UNGEMJIBU NINI HUYU MTOTO????..


MTOTO ana wauliza WAZAZI wake

"Hivi BABA na MAMA j,, mnaweza kutoa gari na kumpa house girl ??"

WAZAZI wanajibu, "gari letu linathamani sana hatuwezi kumpa house girl"

MTOTO tena ,, "Je; mnaweza kumpa house girl ATM card pamoja na password yake??"

WAZAZI "Ebooos wemjinga nn...(kwa hasira hatuwezi...) anaweza kuiba fedha zote halafu tukawa masikin .. pesa zetu zina thamani na malengo.."

MTOTO "vyenye thamani vyote hamtaki kumuachia house girl... mbona mimi mnaniacha na hous girl kwani, mimi sina thamani wala malengo yoyote kwenu?
 
UNGEKUWA NDIO MZAZI UNGEMJIBU NINI HUYU MTOTO????..


MTOTO ana wauliza WAZAZI wake

"Hivi BABA na MAMA j,, mnaweza kutoa gari na kumpa house girl ??"

WAZAZI wanajibu, "gari letu linathamani sana hatuwezi kumpa house girl"

MTOTO tena ,, "Je; mnaweza kumpa house girl ATM card pamoja na password yake??"

WAZAZI "Ebooos wemjinga nn...(kwa hasira hatuwezi...) anaweza kuiba fedha zote halafu tukawa masikin .. pesa zetu zina thamani na malengo.."

MTOTO "vyenye thamani vyote hamtaki kumuachia house girl... mbona mimi mnaniacha na hous girl kwani, mimi sina thamani wala malengo yoyote kwenu?
 
UNGEKUWA NDIO MZAZI UNGEMJIBU NINI HUYU MTOTO????..


MTOTO ana wauliza WAZAZI wake

"Hivi BABA na MAMA j,, mnaweza kutoa gari na kumpa house girl ??"

WAZAZI wanajibu, "gari letu linathamani sana hatuwezi kumpa house girl"

MTOTO tena ,, "Je; mnaweza kumpa house girl ATM card pamoja na password yake??"

WAZAZI "Ebooos wemjinga nn...(kwa hasira hatuwezi...) anaweza kuiba fedha zote halafu tukawa masikin .. pesa zetu zina thamani na malengo.."

MTOTO "vyenye thamani vyote hamtaki kumuachia house girl... mbona mimi mnaniacha na hous girl kwani, mimi sina thamani wala malengo yoyote kwenu?
 
Ungekuwa ndio mzazi ungemjibu nini huyu mtoto?


Mtoto ana wauliza wazazi wake

"Hivi baba na mama j,, mnaweza kutoa gari na kumpa house girl ?"

Wazazi wanajibu, "gari letu linathamani sana hatuwezi kumpa house girl"

Mtoto tena ,, "Je; mnaweza kumpa house girl ATM card pamoja na password yake?"

Wazazi "Ebooos wemjinga nini (kwa hasira hatuwezi) anaweza kuiba fedha zote halafu tukawa masikin pesa zetu zina thamani na malengo."

Mtoto "vyenye thamani vyote hamtaki kumuachia house girl mbona mimi mnaniacha na hous girl kwani, mimi sina thamani wala malengo yoyote kwenu?
 
hakuna motto mwenye akiri ya kijinga namna hiyo!
 
Kama mtoto ameweza kuuliza hayo maswali mzazi(baba&mama) mjue kuwa amekuwa huyo na co mtoto tena
 
Kelelee kimya nyambafu them mm chumbanu kulala
 
Huyo mtoto ni kichwa sana, atakuwa mtoto wa fisadi Che.. nge...
 
Mtoto ameuliza swali gumu sana na kwa mzazi mwenye maarifa angalitambua mtoto anachomaanisha ila mzazi mjinga ataona kama mtoto anazungumza ujinga.
 
Kwanza kwa nini uruhusu mwanao amwite dada huyo housegirl??anatakiwa amwite dada na kama ni mkubwa sana basi ni aunt.halafu kwenye hyo familia inaelekea huyo house girl hawamtreat vizuri ndo maana ata mtoto anamchukulia hivyo!matabaka tunayatengeneza wenyewe halafu badae tunaanza kulia
 
Hapo mi naona house girl kisha mtumia mtoto kama dildo!
 
Back
Top Bottom