Wana JF; kuna jamaa yangu mmoja aliamua kumtoa out rafiki yake wa muda mrefu kwenda kupata moja moto moja baridi baada ya rafiki yakwe kumweleza kuwa amefulia!!
Walipofika baa walianza kugida bia kama kawaida ilipofika bia tatu tatu kila mtu; yule aliyetolewa out akaanza kwa kumshukuru sana rafiki yake kwa kumtoa ile out maana alikua anajiona mpweke mno......
Baada ya muda kidogo bia ikiwa nusu chupa mtolewa out akaanza kumwambia rafiki yake kwamba kwa kweli tumejaaliwa wake tumeoa wake zetu ni wazuri sana jamaa akamjibu kwa upole na tabasamu kuwa ni kweli na ni jambo la kumshukuru mungu kwa kuwapatia wake wazuri na walio wema.
Ikaagizwa raundi ya nne kisha ya tano....mtolewa out akarudia yale maneno ya awali kumwambia rafiki yake... naye akamjibu ni kweli tumuombe tu mungu wazidi kuwa wake wema kwetu.. kisha mtolewa out akaweka msisitizo kuwa mke wa rafiki yake ni mzuri sana ameumbika vizuri, amejaaliwa wowowoo la kutisha sasa kasema ni lazima ambandue tuu... jamaa aliinuka akaenda mita kama tano akasimama akamtazama yule rafiki yako huku akisema jamani siamini ninayoyasikia kwa huyu best yangu au naota.???.......huku ameduwaa haamini kabisaa......huku mtolewa out akisistiza lazima ambandue mkewe mshikaji......
Wana JF hivi mngemshaurije huyu jamaa ???!!!!
Walipofika baa walianza kugida bia kama kawaida ilipofika bia tatu tatu kila mtu; yule aliyetolewa out akaanza kwa kumshukuru sana rafiki yake kwa kumtoa ile out maana alikua anajiona mpweke mno......
Baada ya muda kidogo bia ikiwa nusu chupa mtolewa out akaanza kumwambia rafiki yake kwamba kwa kweli tumejaaliwa wake tumeoa wake zetu ni wazuri sana jamaa akamjibu kwa upole na tabasamu kuwa ni kweli na ni jambo la kumshukuru mungu kwa kuwapatia wake wazuri na walio wema.
Ikaagizwa raundi ya nne kisha ya tano....mtolewa out akarudia yale maneno ya awali kumwambia rafiki yake... naye akamjibu ni kweli tumuombe tu mungu wazidi kuwa wake wema kwetu.. kisha mtolewa out akaweka msisitizo kuwa mke wa rafiki yake ni mzuri sana ameumbika vizuri, amejaaliwa wowowoo la kutisha sasa kasema ni lazima ambandue tuu... jamaa aliinuka akaenda mita kama tano akasimama akamtazama yule rafiki yako huku akisema jamani siamini ninayoyasikia kwa huyu best yangu au naota.???.......huku ameduwaa haamini kabisaa......huku mtolewa out akisistiza lazima ambandue mkewe mshikaji......
Wana JF hivi mngemshaurije huyu jamaa ???!!!!