Mwa chando
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 359
- 122
ebu jenga picha. Ni asubuhi unaamka halafu unakuta umevalishwa pete ya dhahabu kidole cha pili kisha kwenye mto ipo karatasi ina ujumbe unaosomeka "nakupenda sana kwa penzi ulilonipa usiku wa leo na nikaamua bora nikuvishe hiyo pete, ni mm nikupendae POPOBAWA" Jee! utachukua uamuzi gani wa haraka?