Ungekuwa wewe ungefanyaje?

Baada ya kuniokoa lazima turudi kwenye lengo lililonifanya nirudi, kwani ni yeye ndiye aliyenifanya nirudi mpaka nitake kuliwa na simba. Atakuwa na makosa mawili, kwanza ni la kuimba mke na la pili ni kusababisha mimi kutaka kuliwa na simba. Nalog off!
kwahiyo ni mwendo wa kipigo kwa kwenda mbele.Nalog off
 
Hii kweli kali, hapa patakuwa TUNDURU bila shaka. Yaani unarudi toka safari unakutana na Lion????? Duh, Simba si mchezo baba maana angenitafuna ina maana jamaa angeendelea kujirusha naye, hivyo mimi nitamshukuru na kumpa zawadi ya my wife wangu maana kaniokoa na mauti. Mie nitatafuta kijiwe kingine
 
Mkuu hapa zawadi pekee ya huyo mwizi wako ni kumkabidhi huyo 'my-wife' aondoke nae tu. Msaada alioutoa kwa maisha yangu ni mkubwa sana, lakini maumivu yatakayo sababishwa na kitendo cha 'my-wife' ni makubwa zaidi. 'My-wife' ni mtu ambae hastahili kuwa karibu na mimi tena, after all hata kama nilinusurika na kifo kutokana na simba, ni wazi kwamba bado 'my-wife' pia anaweza kunisababishia kifo kwa namna nyingine. Asante mkuu kwa hii "paukwa pakawa" yako.
 
Hii kweli kali, hapa patakuwa TUNDURU bila shaka. Yaani unarudi toka safari unakutana na Lion????? Duh, Simba si mchezo baba maana angenitafuna ina maana jamaa angeendelea kujirusha naye, hivyo mimi nitamshukuru na kumpa zawadi ya my wife wangu maana kaniokoa na mauti. Mie nitatafuta kijiwe kingine
unatafuta sehemu ya kuweka jiwe la msingi.Nalog off
 
Mkuu hapa zawadi pekee ya huyo mwizi wako ni kumkabidhi huyo 'my-wife' aondoke nae tu. Msaada alioutoa kwa maisha yangu ni mkubwa sana, lakini maumivu yatakayo sababishwa na kitendo cha 'my-wife' ni makubwa zaidi. 'My-wife' ni mtu ambae hastahili kuwa karibu na mimi tena, after all hata kama nilinusurika na kifo kutokana na simba, ni wazi kwamba bado 'my-wife' pia anaweza kunisababishia kifo kwa namna nyingine. Asante mkuu kwa hii "paukwa pakawa" yako.
bora kumtia chaka my wife wako au sio? kipeperushe kipepeo,kipeperushe.Nalog off
 
Kwanza unampa shukrani kwa kukuokoa halafu kinachofuata ni kipigo ch kufa mtu.....
 
Nikifika ndani kwanza nampa 'Shikamoo mwizi wangu' na zawadi yake aondoke na huyo aliyekuwa mke wangu nianze upya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom