godymanyaga
New Member
- Nov 17, 2011
- 1
- 2
sasa jamaa akikudunda?Nalog off
unakomaa si keshakuokoa na yeye majirani wamuokoe huwezi kupigwa mbele ya mkeo bana
sasa jamaa akikudunda?Nalog off
kwahiyo ni mwendo wa kipigo kwa kwenda mbele.Nalog offBaada ya kuniokoa lazima turudi kwenye lengo lililonifanya nirudi, kwani ni yeye ndiye aliyenifanya nirudi mpaka nitake kuliwa na simba. Atakuwa na makosa mawili, kwanza ni la kuimba mke na la pili ni kusababisha mimi kutaka kuliwa na simba. Nalog off!
unakuwa na nguvu za ziada siku ya kufumania.Nalog offunakomaa si keshakuokoa na yeye majirani wamuokoe huwezi kupigwa mbele ya mkeo bana
unatafuta sehemu ya kuweka jiwe la msingi.Nalog offHii kweli kali, hapa patakuwa TUNDURU bila shaka. Yaani unarudi toka safari unakutana na Lion????? Duh, Simba si mchezo baba maana angenitafuna ina maana jamaa angeendelea kujirusha naye, hivyo mimi nitamshukuru na kumpa zawadi ya my wife wangu maana kaniokoa na mauti. Mie nitatafuta kijiwe kingine
bora kumtia chaka my wife wako au sio? kipeperushe kipepeo,kipeperushe.Nalog offMkuu hapa zawadi pekee ya huyo mwizi wako ni kumkabidhi huyo 'my-wife' aondoke nae tu. Msaada alioutoa kwa maisha yangu ni mkubwa sana, lakini maumivu yatakayo sababishwa na kitendo cha 'my-wife' ni makubwa zaidi. 'My-wife' ni mtu ambae hastahili kuwa karibu na mimi tena, after all hata kama nilinusurika na kifo kutokana na simba, ni wazi kwamba bado 'my-wife' pia anaweza kunisababishia kifo kwa namna nyingine. Asante mkuu kwa hii "paukwa pakawa" yako.
Jamaa mwenyewe anaitwa Makame Nyamiguvu. Nalog offDuh! Jamaa kaja'aliwa, kampiga simba na mchi hadi kakimbia.
Je? Jamaa akiwa ngumi kali kuliko wewe? Nalog offKwanza unampa shukrani kwa kukuokoa halafu kinachofuata ni kipigo ch kufa mtu.....
nitaandikaje sasa?Nalog off
Nalog in sasa
Aise hupendi vurugu kabisa.Nikifika ndani kwanza nampa 'Shikamoo mwizi wangu' na zawadi yake aondoke na huyo aliyekuwa mke wangu nianze upya.
Yanini malumbano ? ukitembea mitaani unaona wangapi wazuri kila siku ? sitapigania mwanamke hata siku moja,kata mti panda mti nashangaa watu kutoana manundu/damu kwa ajili ya totoz.Aise hupendi vurugu kabisa.