Ungekuwa wewe ungefanya nini?

Ungekuwa wewe ungefanya nini?

Fungua kioo, mtekenye, anakimbia na wewe unasepa
akili hiyo huwezi ipata kwa haraka, ukiwa ktk mazingira hayo unachanganyikiwa hata hujui la kufanya ni Mungu tu anakupa maarifa ufanye nini au anamsababisha tembo huyo aondoke maeneo hayo
 
daah kweli jf mh hapana!!nimecheka hadi najishtukia naangalia kama kunt kiumbe ameniona...lol
bora facbuk ifungwe lakini sio jf
 
Back
Top Bottom