vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
Una mpenzi/ rafiki yako wa kike, mnapendana sana
hata hivyo wazazi hawajui lolote.
Wote ni wanafunzi sema ni vyuo tofauti. Wewe
mwanaume unakaa katika geto lako, binti
analindwa sana kwao, mlikuwa mmefanya kila kitu
katika mapenzi isipokuwa ngono. Likizo ya binti
ilivyofika hakutoa taarifa yoyote kwao akafunga
safari kuja kwako, Mlikuwa MMEKUBALIANA. Binti
hakumshirikisharafiki yake hata mmoja juu ya suala
hili kwani hakuwa akiwaamini
Baada ya kufurahia naye kwa siku tatu sasa binti
akafunga safari ndefu kwenda kwao, napo hakutoa
taarifa tena.
Ajali mbaya ya gari ikaua watu kumi na tano huko
njiani binti naye akiwa mmoja wao wa marehemu,
tena akiwa amesagwasagwa vibaya hali
iliyosababisha asijulikane kabisa. Mbaya zaidi
hakuwa na kidhibiti chochote cha kumtambulisha.
Wewe unafahamu basi alilopanda na hakika
unatambua kuwa ni mmoja kati ya waliokufa.
Ni wakati wa kuuonyesha upendo wako kwa
marehemu mpenzi wako.
Je unaifikishiaje taarifa familia yake pasipo kuweka
uongo tafadhali ili mwili wa mpenzi wako
usizikwekama MZOGA???????? Na serikali baada ya
ndugu kukosekana???/
FIKIRIA SANA KABLA YA KUTOA MAONI.
Aliyefikwa na jambo hili alizidiwa na msongo wa
mawazo na kufariki kwa kunywa sumu!!!!!!
UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI????
hata hivyo wazazi hawajui lolote.
Wote ni wanafunzi sema ni vyuo tofauti. Wewe
mwanaume unakaa katika geto lako, binti
analindwa sana kwao, mlikuwa mmefanya kila kitu
katika mapenzi isipokuwa ngono. Likizo ya binti
ilivyofika hakutoa taarifa yoyote kwao akafunga
safari kuja kwako, Mlikuwa MMEKUBALIANA. Binti
hakumshirikisharafiki yake hata mmoja juu ya suala
hili kwani hakuwa akiwaamini
Baada ya kufurahia naye kwa siku tatu sasa binti
akafunga safari ndefu kwenda kwao, napo hakutoa
taarifa tena.
Ajali mbaya ya gari ikaua watu kumi na tano huko
njiani binti naye akiwa mmoja wao wa marehemu,
tena akiwa amesagwasagwa vibaya hali
iliyosababisha asijulikane kabisa. Mbaya zaidi
hakuwa na kidhibiti chochote cha kumtambulisha.
Wewe unafahamu basi alilopanda na hakika
unatambua kuwa ni mmoja kati ya waliokufa.
Ni wakati wa kuuonyesha upendo wako kwa
marehemu mpenzi wako.
Je unaifikishiaje taarifa familia yake pasipo kuweka
uongo tafadhali ili mwili wa mpenzi wako
usizikwekama MZOGA???????? Na serikali baada ya
ndugu kukosekana???/
FIKIRIA SANA KABLA YA KUTOA MAONI.
Aliyefikwa na jambo hili alizidiwa na msongo wa
mawazo na kufariki kwa kunywa sumu!!!!!!
UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI????