Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
- Thread starter
- #21
Upo sahihi kabisa, kabla ya ndoa ni muhim sana kupima UKIMWI,
Aidha, ni muhimu sana mke anapokuwa mjamzito kwenda nae clinic ili wanandoa husika mume na mke wapimwe afya zao na kupewa ushauri stahiki.
Jamaa alipuuzia kwenda clinic na mkewe Hatimae mke kakutwa na UKIMWI bila yeye mume kujua,
Tujifunze kupitia huyu,
ni kweli mkuu ni fundisho tosha,kwa kweli inauma sana