Ungekuwa Jaji Rwakibalira Ingekuwaje?

Ungekuwa Jaji Rwakibalira Ingekuwaje?

Ningejinyonga,

maana nimefanya kosa kubwa sana hapa duniani nimejizalilisha,nimewazalilisha wana taaluma wezangu, nimemzalilisha JK kwa sababu yeye ndiye aliyeniteuwa kuwa jaji, pia nimewakosea sana watanzania na nimemkosea MUNGU wangu bora nijinyonge tu maana sioni tena sababu ya kuendelea kuishi duniani....... Eee MUNGU nichukue yaishe!
 
jaji kafanya kazi yake ndio maana haki ya rufaa iko wazi.
kwa mnaofuatilia hukumu mbalimbali mara nyingi sana maamuzi ya mahakama kuu yanatupwa chini na mahakama ya rufaa
nlichojifunza kwa hukumu ya leo ni kuwa hakuna tena mtu ambae
ataruhusiwa kufungua mashtaka ya kupinga ubunge kama sio mgombea mwenyewe, hili ni jambo jema sana
wale vibaka au 3rd part wanaotumwa hawataweza tena kufungua mashtaka kama ilivokuwa kwa washtaki wa Lema
 
Ningeweka wazi kama Samweli Kivytu wa Kenya (spelling), Mi nililetewa hukumu na mkulu niisome.
 
Ungekuwa ndiye Jaji Gabriel Rwakibalila (aliyemvua ubunge G.Lema) ungejisikiaje baada ya hukumu ya Lema ya leo?
-umedahlilishwa?
-Umeonewa
-kawaida tu?
-umegeukwa?
-umesalitiwa?
(namtakia afya njema jaji, arudi nchini afurahi na familia)

niwe vip jaji rwakabalira!,jaji rwakabalira ni yeye na mundende ni mundende...niaje we mang'aa aisee hakuna mtu anaweza akawa rwakabalira..eti 'ungekuwa' ndo nin sasa.. ndo sijawa
 
Adhabu ya mwanadamu iko hapa hapa duniani. Kila mtenda wema hulipwa kwa wema bali mtenda ubaya hulipwa kwa mabaya. Baaya ya hukumu ya Lema ya uonevu maombi yalifanyika na Mungu ametenda haki.
 
Ningeweka wazi kama Samweli Kivytu wa Kenya (spelling), Mi nililetewa hukumu na mkulu niisome.

Ni Kivuitu n'a siyo Kivytu! N'a alikiri. wazi kuwa alisoma matokeo akiwa amenyooshewa mtutu wa bundukî !
 
Ungekuwa ndiye Jaji Gabriel Rwakibalila (aliyemvua ubunge G.Lema) ungejisikiaje baada ya hukumu ya Lema ya leo?
-umedahlilishwa?
-Umeonewa
-kawaida tu?
-umegeukwa?
-umesalitiwa?
(namtakia afya njema jaji, arudi nchini afurahi na familia)

Astaafu akazingatie matibabu yake na kuwafundishaa wanae na wajukuu umuhimu wa kutenda haki, asipende kulamba viatu vya wakubwa.
 
jamani huyu Jaji Gabriel Rwakibalira ni mgonjwa na hajui kinachoendelea tangia atoe hiyo hukumu, amepata matibabu huko India na sasa yupo kwake hapo kimara Temboni lakini hali yake bado si nzuri na sijui akisikia hii habari itakuaje lakini kwa sababu alitimiza matakwa ya ikulu hatashutuka
 
Nadhani Jaji alijua alichokuwa amefanya hivyo hashangai kuhusu matokeo ya rufaa. Alijua Lema atashinda rufaa inawezekana ndicho kilichomletea hiyo stroke yaani Lema kuamua kukata rufaa.
Ungekuwa ndiye Jaji Gabriel Rwakibalila (aliyemvua ubunge G.Lema) ungejisikiaje baada ya hukumu ya Lema ya leo?
-umedahlilishwa?
-Umeonewa
-kawaida tu?
-umegeukwa?
-umesalitiwa?
(namtakia afya njema jaji, arudi nchini afurahi na familia)
 
judiciary ni muhimili huru kwa maana ya kwamba majaji wana kila sababu ya kufanya kazi kwa uhuru pasipo hofu ya kuingiliwa ama kushinikizwa na serikali.inapotokea jaji anashinikizwa, anapewa rushwa au anashawishiwa kutotendeka haki na yeye anakubali kufanya hivyo basi ni mapungufu yake, ni udhaifu mkubwa ambao jaji hapaswi kuwa nao.
 
Ningeomba kupandishwa cheo na alienituma kumfanyia kazi
 
Aibu ya mwaka! Kafunga mwaka kwa aibu ya hali ya juu saana! Amejidhalilisha saaana na amedhalilisha taaluma ya sheria.
 
Watanzania: tujenge utamaduni wa ku'DEAL' na matitizo yetu, sio kuyapigia taarab na mipasho na kulalamikaaa hadi lije tatizo jingine tusahau hili. We need do some 'cleaning', if you know.
 
Ningeomba ikulu itangaze kwamba nimesepa kama BALALI ili nikapunzike huko.
 
Nionavyo JAJI yule alishasemwa vizuri na Learned Avocates Kimogororo na Lissu ya kwamba alichokitoa kwenye MACHO YA SHERIA siyo hukumu ni BALAA!NINAWAHURUMIA WATU WAWILI ZAIDI .Mmoja kwa AIBU NI PRESIDENT aliyesema kwenye hotuba eti Arusha ilikuwa shwari baada ya Godbless Yonathan Lem KUVULIWA UBUNGE na ka RC fulani kalikotoa tamko la kuipongeza hukumu ya Jaji msomi Gabriel Rwakibarila(kama alivyokuwa siku akisoma hukumu)Hawa nawahurumia kwa kuogopa kusema neno litakalonipatia BAN YA MAISHA JF
 
mm nadhani jaji rwakibarila ni aina ya majaji walioteuliwa bila kuzingatia sifa km anavyosema Tundu lisu,swali la msingi je majaji wa mahakama wa rufaa walisoma shule zipi?na wanatumia sheria zip ktk kutoa maamuzi ambazo Rwakibarila hazifahamu?.yatupasa kuamini ujaji wake ni wakupitia mlango wa nyuma!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!may our lord bless you my brother LEMA
 
Nionavyo JAJI yule alishasemwa vizuri na Learned Avocates Komogororo na Lissu ya kwamba alichokitoa kwenye MACHO YA SHERIA siyo hukumu ni BALAA!NINAWAHURUMIA WATU WAWILI ZAIDI .Mmoja kwa AIBU NI PRESIDENT aliyesema kwenye hotuba eti Arusha ilikuwa shwari baada ya Godbless Yonathan Lem KUVULIWA UBUNGE na ka RC fulani kalikotoa tamko la kuipongeza hukumu ya Jaji msomi Gabriel Rwakibarila(kama alivyokuwa siku akisoma hukumu)Hawa nawahurumia kwa kuogopa kusema neno litakalonipatia BAN YA MAISHA JF
 
Back
Top Bottom