Ungekuwa Jaji Rwakibalira Ingekuwaje?

Ungekuwa Jaji Rwakibalira Ingekuwaje?

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,202
Reaction score
8,788
Ungekuwa ndiye Jaji Gabriel Rwakibalila (aliyemvua ubunge G.Lema) ungejisikiaje baada ya hukumu ya Lema ya leo?
-umedahlilishwa?
-Umeonewa
-kawaida tu?
-umegeukwa?
-umesalitiwa?
(namtakia afya njema jaji, arudi nchini afurahi na familia)
 
Mi ningekuwa huyo Jaji G. R ningeomba kamba nijinyonge hakianani!

Kwani itakuwa nimesalitiwa mchana kweupe!
Na kama nitakuwa sijajinyonga basi natoboa mazungumzo yote A to Z ilivyokuwa mpk nikatoa hukumu kinyume na.........!!
 
Ningesema nilitoa hukumu kwa matakwa ya ikulu, na ningewaomba samahani watanzania wote.
 
Mi ningekuwa huyo Jaji G. R ningeomba kamba nijinyonge hakianani!

Kwani itakuwa nimesalitiwa mchana kweupe!
Na kama nitakuwa sijajinyonga basi natoboa mazungumzo yote A to Z ilivyokuwa mpk nikatoa hukumu kinyume na.........!!
He!...Aisee!
Watu mmejifunza kuweka mambo hazarani baaday ya PM7 nini?..Hongera Prezzoo na kundi lake!
 
Ungekuwa ndiye Jaji Gabriel Rwakibalila (aliyemvua ubunge G.Lema) ungejisikiaje baada ya hukumu ya Lema ya leo?
-umedahlilishwa?
-Umeonewa
-kawaida tu?
-umegeukwa?
-umesalitiwa?
(namtakia afya njema jaji, arudi nchini afurahi na familia)

Self judgement inamwambia kuwa hajui sheria. Ajitafakari sana na taaluma yake.
 
Ningeomba kustaafu utumishi wa umma!
unajua hata ukistaafu haisaidii sana maana uongo uliosemwa hauwezi kubadilika kuwa ukweli.
Mfano chukulia bwana mmoja aliyegombe ubunge wa Temeke miaka ya 90 kwa kudanganya elimu Bw2. Kihiyo. Una habari mpaka leo watoto na jamaa zake wanaona aibu kujitambulisha kwa jina lake!?
 
ningepigia mstari kuwa na mimi degree/masters / phd yangu ni kama ayale ya yule hakimu wa wilaya ya korogwe aliyeambiwa niza pichu
 
Ningejiuzulu Ujaji maramoja na kuwaomba radhi wananchi wa jimbo la Arusha na Watanzania.
 
kwa kweli ningekuwa mimi ni yeye ningerudi class nikale msasa
Broda,
Unapga msasa unarudi, kama huna msimamo unarudi square one- kuaibika tena.
Nadhani ishu ni msimamo.
 
Back
Top Bottom