Ungekua ww ungefanyaje?

Ungekua ww ungefanyaje?

willylikes

Member
Joined
Jul 6, 2013
Posts
16
Reaction score
0
Daah...!!!! ungefanyaje....????
Mfano wewe ni dereva tax
umepewa namba ya simu kumfuata mteja na wewe ukaenda
kwa kuwa
ndo kazi yako. Ile unafika
unakuta mteja ni jamaa yuko na mkeo wakiwa mlangoni
wanatoka ndani ya guest house huku wakiwa
wameshikana mikono na mkeo anambusu jamaa. Jamaa
anakuambia mchukue huyu mwanamke muwahishe
nyumbani kwake kabla mume wake
hajarudi. Utafanyaje?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Haha yaani huo mtihani utamrudisha tuu kama mteja home kwake halafu mumewe ndo huyohuyo dah aisee ngumu sana haki sawa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
ningemchukua mke wangu nikamtie nyumbani kulipiza kisasi.
 
Ah! Ah! Ah!
Yaani na lianzisha apo apo kwanza, makofi mazito kwa jamaa, watu si watazongea! Nawambia jamaa kala asali yangu so skubali na staki mumpige, nnachotaka ni kumrudisha gest ile ile aliyom*mba mke wangu, ili na mimi nikajifariji (nikale manamba haya-0718) iwe funzo kwake na kwa wengine...!
Chezea mke wangu weeweeeenh!!!!!
 
dah! kama ndo mi wala siangaiki,kwa kua ukinitenda huwa akilali kwangu itakua pay back time
 
Kwa hasira,namkamata huyo jamaa namrudisha humohumo guest halaf nakameroon.weeh wife?inauma sana aisee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom