meghan markle
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 489
- 1,196
Pole kwa changamoto ndugu hata mzaliwe tumbo moja huwezi fanana tabia na mambo mengine. Hapo unaweza kuta anajenga we unamhudumia

sijui itakuumaje.Naandika huku nacheka siku anakuambia dogo twende Chanika au Bunju ukaone kibanda changu af ahamie kwake we akuache umepanga looooh!!!
On a serious note though...As long as ni ndugu yako tafuta namna muachane kwa amani. Just make sure anakipato cha kueleweka maana unaweza tengana nae na bado akawa anaishi kwa kubangaiza utajiskia vibaya zaidi.
Cha kufanya tafuta sehemu nyingine hapo mwachie. Gawa vitu usichukue vyote ili akose point ya kulalamika na kuku haribia home kua umemtelekeza. As long as unajituma utapata vingine. Na yeye atajua atatafutaje. Kama una kitanda na makochi, beba kitanda mwachie kochi alalie.
Nakushauri japo naandika huku nawa zoom ndugu zangu wa damu I would never get tired of living with them no matter how tough life is...kumbuka maisha hayana formula haya. Leo unamsaidia yeye kesho kama haupo wema wako ataulipa kwa wanao. Kazi zenyewe hazina guarantee unaweza ukose kazi ujikute unamhitaji angalau mtegemeane to make ends meet.
Au pia kama hana kipato kizuri shauriana nae um support aanze biashara.
Hutaishi kwa amani ukimuacha ndugu yako kwenye mazingira magumu wakati we unaishi vizuri. Ndo maana Mungu akatupa ndugu ili tusaidiane (japo sio mara zote ndugu wanasaidiana)


sijui itakuumaje.Naandika huku nacheka siku anakuambia dogo twende Chanika au Bunju ukaone kibanda changu af ahamie kwake we akuache umepanga looooh!!! On a serious note though...As long as ni ndugu yako tafuta namna muachane kwa amani. Just make sure anakipato cha kueleweka maana unaweza tengana nae na bado akawa anaishi kwa kubangaiza utajiskia vibaya zaidi.
Cha kufanya tafuta sehemu nyingine hapo mwachie. Gawa vitu usichukue vyote ili akose point ya kulalamika na kuku haribia home kua umemtelekeza. As long as unajituma utapata vingine. Na yeye atajua atatafutaje. Kama una kitanda na makochi, beba kitanda mwachie kochi alalie.
Nakushauri japo naandika huku nawa zoom ndugu zangu wa damu I would never get tired of living with them no matter how tough life is...kumbuka maisha hayana formula haya. Leo unamsaidia yeye kesho kama haupo wema wako ataulipa kwa wanao. Kazi zenyewe hazina guarantee unaweza ukose kazi ujikute unamhitaji angalau mtegemeane to make ends meet.
Au pia kama hana kipato kizuri shauriana nae um support aanze biashara.
Hutaishi kwa amani ukimuacha ndugu yako kwenye mazingira magumu wakati we unaishi vizuri. Ndo maana Mungu akatupa ndugu ili tusaidiane (japo sio mara zote ndugu wanasaidiana)