Undugu utakufa hivi punde

Undugu utakufa hivi punde

Ataondokaje? Asepe na vitu vyote afu bro wake atamuachaje? Kumbuka amesema anataka atengane nae peacefully
Ndio abebevitu vyake akahamie kwengine na amwambie ameshindwa kukaa hapo sababu ya yeye kutojigusa na chochote atakapohamia asimwambie hapo sion kama kuna kutengana kwa amani mana naona ugomvi wao umeanzia mbali sababu wazaz wao wenyewe wameweka mipaka hata wakipewa hii kesi kila mtu ataaamua lake.
 
Ataondokaje? Asepe na vitu vyote afu bro wake atamuachaje? Kumbuka amesema anataka atengane nae peacefully
Apo ndo changamoto .Kila kitu changu .zake nguo tu sasa nikibeba vitu vyangu atabaki kulaza mbavu sakafuni .apo lazima kwenye simulidhi zake itakuwa Mimi nime aso ww ndugu aliniacha nikiwa sinakitu tena sakafuni
 
Ndio abebevitu vyake akahamie kwengine na amwambie ameshindwa kukaa hapo sababu ya yeye kutojigusa na chochote atakapohamia asimwambie hapo sion kama kuna kutengana kwa amani mana naona ugomvi wao umeanzia mbali sababu wazaz wao wenyewe wameweka mipaka hata wakipewa hii kesi kila mtu ataaamua lake.
Unacho sema nikweli .nishawai peleke kwa mama kuwa uyu brother anafanya ujinga.nilionekana mtu mwenye roho mbaya kutokea kwenye tumbo lake
 
duuuh pole mkuu,


watu hatufanani aiseeh yan mtu yupo tu kama gogo
 
Apo ndo changamoto .Kila kitu changu .zake nguo tu sasa nikibeba vitu vyangu atabaki kulaza mbavu sakafuni .apo lazima kwenye simulidhi zake itakuwa Mimi nime aso ww ndugu aliniacha nikiwa sinakitu tena sakafuni
 
Apo ndo changamoto .Kila kitu changu .zake nguo tu sasa nikibeba vitu vyangu atabaki kulaza mbavu sakafuni .apo lazima kwenye simulidhi zake itakuwa Mimi nime aso ww ndugu aliniacha nikiwa sinakitu tena sakafuni
Kwahiyo hutaki asimulie hivyo ama? Kama unataka ujiko endelea kumhudumia
 
kabla ya kuchukua hatua muulize yy ni chama gani? kama ni kile cha ,,,,,,, usimlaumu kabisa so kosa lake mvumilie kama tunavyokivumilia chama chake
 
Kwahiyo hutaki asimulie hivyo ama? Kama unataka ujiko endelea kumhudumia
Sitaki ujiko mkuu . simulidhi yake ikiwa ivo .itafikia wakati ata familia yake Na yangu kutokupendana apo mbeleni tuki bahatika kuwa Na wake Na watoto.
 
Watu wa dar tunawajua hampendi ndg, teh!
Ata mm nilikuwa Na sema ivo .Ila maisha ya dar au miji iliyo endelea changamoto ya maisha ufanya watu wa fanye ivyo
 
Kweli inaitaji busara.
Roho nzuri yako imekuponza
 
Mvumilie ni ndugu yako! Udugu ni kufaana...! Kaka ako tu umemchoka je angekuwa MTU baki! Pendaneni!!! Damu nzitoooo....kaa na kaka ako kwa roho safi! Sabuni cjui mafuta vitu vidogo mnooo tena haswa kwa ndugu yako wa dam!
Na room kwan hata asingekuwepo yy isingelipa??? Mpende nduguyo...mvumilie madhaifu yake! Huo ndio udugu
 
Panga geto jingine ondoka kama unarudi kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom