Undugu utakufa hivi punde

Undugu utakufa hivi punde

kachonjo

Senior Member
Joined
May 25, 2018
Posts
161
Reaction score
197
Ilikuwa tarh 17/01/2016. Kwa mara ya kwanza nafika Dar es Salaam, nilifikia kwa jamaa ghetto kiumeni na baada ya mwezi mmoja brother niliyefuatana naye pia akaja Dar. Nilikaa kwa jamaa miezi 7 nikapata chumba mambo yakawa yanasonga ikabidi nimwambie brother njoo napoishi sababu yeye alikuwa anakaa kwa mwenzie .

Brother toka aje ghetto kulipia maji hataki, kulipia umeme hataki,uchangia kodi hataki hata kununua sabuni hataki. Yeye ghetto anaishi kama popo, siunajua tabia ya popo ni kubembea tu hajali hata kujenga kiota.

Huyu brother hata kujinunulia shuka hataki, hata kununua sabuni anategea pia oneshi dalili za kutaka kuondoka.

Nimejaribu kumwambia kuwa hapa tunapoishi sio nyumbani siku mdogo wako nikiwa sina pesa tutafukuzwa tutaishi wapi.! Kama hutaki maisha ya kusaidiana basi panga chumba chako. Nilimwambia hivyo naonekana nina roho mbaya.

Pia yeye yupo upande wa mama yaani kamezeshwa sumu za kumchukia Mzee.Mimi nipo upande wa baba .

NAOMBENI USHAURI HUYU BROTHER NIJITENGE NAE VIPI BILA KULETA CHUKI
 
Hiyo mbona rahisi sana
Tafuta chumba sehemu nyingine alafu muage kua maisha ya town yamekushinda unarudi home kujipanga upya.
Anza kuhamisha kitu kimoja kimoja geto kwa mtindo wa kua umepigika na unaanza kuuza vitu ili maisha yaende asipo badilika hapo ondoka nenda home kama wiki hivi kisha rudi town kwenye getto lako jipya.
Natumaini mpaka hapo utakua free
 
Ilikuwa tarh 17/01/2016. Kwa mara ya kwanza nafika dar es salaam .nilifikia kwa jamaa ghetto kiumeni .bahada ya mwezi mmoja brother niliye fwatana naye pia akaja dar . Nilikaa kwa jamaa miezi 7 nikapata chumba mambo yakawa yanasonga . Ikabidi nimwambie brother njoo napoishi sababu yeye alikuwa anakaa kwa mwenzie .

Brother Toka aje ghetto kulipia maji ataki . kulipia umeme ataki .kuchangia Kodi ataki .ata kununua sabuni ataki. Yeye ghetto anaishi kama popo siunajua tabia ya popo nikubembea tu ajali ata kujenga kiota. Uyu brother ata kujinunulia shuka ataki .ata kununua sabuni anategea pia oneshi dalili za kutaka kuondoka .nimejaribu kumwambia kuwa apatunapo ishi sio nyumbani siku mdogo wako nikiwa Sina pesa tutafukuzwa tutaishi wapi. Kama utaki maisha ya kusaidiana pasi panga chumba chako. Nilimwambia ivo Na onekana Na roho mbaya.

Pia yeye yupo upande wa mama yani kamezeshwa sumu za kumchukia Mzee .Mimi nipo upande wa baba .NAOMBENI USHAURI UYU BROTHER NIJITENGE NAE VIPI BILA KULETA CHUKI
Mchane tu ukiona haeleweki akapange tu
Watu wa hivo ni kutafuta ugomvi
Mtu hata sabuni hanumui kweli
 
Mda mwingine bora ukae peke yako maana ndugu anaweza kukurudisha nyuma kimaendeleo,licha ya kumueleza ukweli jua uko peke yako.je siku ukiwa na tatizo si anaweza kukukimbia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom