Uncle Shamte ana ulimbukeni wa mapenzi

Post za jf bana zinaenda na upepo
Yaani kama umepost alafu mtu wa kwanza kakupinga basi ndo mwendelezo

Inshort jamaa wamemkataa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndo hivyo inakuwaga kumbe na wewe umewasoma wadau😂😂😂comment tatu za mwanzo ndizo zinaamua hatima ya uzi wakikusagia kunguni ujue msago utaendelea mpaka hatma ya uzi😃😃...
 
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Ukiona ivyo ujue ushaanza kuwa Mzee. Apo inabidi utoke Instagram. Wanaume wengi hawapo kwy mitandao ya kijinga jinga. Wewe unakuta dume zima lipo Snap chart
 
Lkn kusema kweli huyu mama anavo fanya vile niwaaambie kabisa aa anatunaniliu.........sasa je sisi mnataka tufe na minyege?? nawauliza waungwana tu!
 
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Mbona makasiriko jomba?
 
Mkuu, anko Shamte ni mtanzania yupo huru kufanya anachojisikia isiwe tu kinavunja sheria na taratibu za nchi, na kikubwa zaidi kamuoa ndoa halali kabisa kabisa huyu bi mkubwa, ninachoona hapa unaingilia binafsi ya mtu ambayo ni haki yake
Pamoja na uhuru mkuu kinachoniudhi mie! nakaribia kufa !yale mamijina bana weeeee!!...... hee naona km huna raha si raha ivi!! kifo si kifo vile ivi jina km Mariooo!.......aya! yayayayayay hallow!!........unatamani ufe kabisa!!

Kalafu mama anaweza kukupiga makofi!! nasema ivo kwa sababu nilikuwaga na kademu bana kana gari aina ya opa neu model!! Mama weeee! majidai km yote! yaani kinaweza kikakushusha garini looo!! ....Nikasema subiri ...... nilikaaga naenda Moro!! nikaenda mazimaaaaa!!!...

Kuumbe bana kalikuwa kanatembelea nyota yangu bana!! kile kigari kilikufa tukifo cha gahfla hakikugongwa wala kujeruhiwa!!...hasa ukiwa na marafiki vigwadugwadu mbona utakomaaaa!!!
 
Kijana wa kichangani( Moro) acha ale vitu vya bibi t, na jina kapata kimseleleko, magimbi ya matombo yanampa nguvu ya kumsugua vizuri bi Sandra.
 
Huenda hayo ndiyo majukumu yake aliyopangiwa, na asipo wapost anafurumushwa kwenye Nyumba..
 
Dah mkuuu kila mtu anaish anavyopenda yeye inawezekana hata unayofanya wewe watu hawayapendi n vile tu wewe siyo maarufu Kama mzee shamte

Kama anakwaza au amevuka mipaka basi tcra wapo watamdhibiti ukiona kimya jua hajavunja sheria

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Comment ya mtu mwenye uzoefu wa maisha.Sikujui ila nauhakika unafurahia maisha
 
Sasa anko shamte anaweza kubeba zege kweli?maana hana cha elimu yoyote..
 
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Umeandika kwa uchungu sana!
Huyo si ni mke wake,akimbaashia kuna tatizo gani?
Kwani Diamond ameshakulalamikia kuwa Shamte anamdhalilisha?
 
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
NDEGE WANAO FANANA HURUKA PAMOJA,
UKWELI WOTE MWANAMKE NA MWANAUME AKILI 0
 
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Sasa jitu la hovyo kama hilo unadhani lina historia gani ya maana mkuu?
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom