Sugar wa Ukweli
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 373
- 37
Da umenikumbusha mbali mkuu,enzi zile nilikuwa na demu korogwe girls,karatasi lazima iwe ya rangi rangi,mwandiko wa kuremba,michoro ya kufa mtu alafu lazima apulizie perfume.vitu kama hivi ndo huwa vinanifurahisha kwenye mapenzi mpaka leo ninazo hizo barua
weye ulikuwa mitaa wa wapi?,Tanga school,Galanos au Magamba?