Natamani sana turudi enzi zile mambo yalikuwa shwari sana,ukamera man ulikuwa dili sana na madem walikuwa bomba sana tofauti na wa siku hizi wamechakachuliwa sana,mpaka wamepoteza radha alafu hawajui hata majambozi,HIZO NDIO ENZI ZA NGAZI TATU BWANA,danga chee dukinaa salam za mablazaman enzi hizo.