Unazifahamu hizi?

Unazifahamu hizi?

Nafuu umesema kwann wanakata ss
wanakata kwa sababu wengi wakishangonoka chap chap wanajifanya kwenda kuoga na hawarudishi
sasa mtaani au majumbani zianajulkana ni za Guest aua hata unaweza kukuta wameweka za kushoto tu.
Pia hata wale wenzetu wa Kabila fulani huwa wanachanganya na mizigo yao km kufidia gharama za Guest kwani hata visabuni hawaachi wanabeba
 
wanakata kwa sababu wengi wakishangonoka chap chap wanajifanya kwenda kuoga na hawarudishi
sasa mtaani au majumbani zianajulkana ni za Guest aua hata unaweza kukuta wameweka za kushoto tu.
Pia hata wale wenzetu wa Kabila fulani huwa wanachanganya na mizigo yao km kufidia gharama za Guest kwani hata visabuni hawaachi wanabeba
Hahahaha wanafidia pesa yao kumbe hatari
 
Nafuu umesema kwann wanakata ss
Wanakata sababu kuna raia sio waaminifu hawashindwi kutia kwenye begi kuondoka nazo
So unaona hata mataulo ya lodge na guest huwa yanaandikwa majina yao au chata ili kuprevent watu kuiba
 
Back
Top Bottom