Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,617
Kila siku utasikia watu wengi wakiongelea kuwa IQ ya watanzania ni ndogo - iko kwenye asilimia 70. Ufafanuzi uko hivi: ni kutokana na matendo ya walio wengi kutotenda kwa sababu sahihi.
ONA HAWA WATU:
1. Siwezi kujenga slop, najipanga nijenge nyumba ya maana (ana miaka zaidi ya 15 anapanga chumba kimoja na sebure)
2. Mwanangu hawezi soma shule za kata (analalamika eti shule wamepandisha gharama na vyuma vimekaza)
3. Siingii kwenye nyumba haijaisha (anaendelea kupanda na anadaiwa kodi miezi 6 nyuma)
4. Siwezi kulima mchicha mjini hapa (ananunua mchicha kila siku)
5. Siwezi kununua gari la hivyo (anapanda bajaji kila siku)
6. Siwezi kulala na mifugo (kuku) ndani ya nyumba (ana bill ya mayai ya mtoto kila mwezi.
ONGEZA NA NYINGINE …
Hicho ndo kipimo cha IQ za watanzania … hawana sababu za msingi kwa yale wanayoyatolea maamuzi. Kama na wewe ni wa hivyo … BADILIKA.
ONA HAWA WATU:
1. Siwezi kujenga slop, najipanga nijenge nyumba ya maana (ana miaka zaidi ya 15 anapanga chumba kimoja na sebure)
2. Mwanangu hawezi soma shule za kata (analalamika eti shule wamepandisha gharama na vyuma vimekaza)
3. Siingii kwenye nyumba haijaisha (anaendelea kupanda na anadaiwa kodi miezi 6 nyuma)
4. Siwezi kulima mchicha mjini hapa (ananunua mchicha kila siku)
5. Siwezi kununua gari la hivyo (anapanda bajaji kila siku)
6. Siwezi kulala na mifugo (kuku) ndani ya nyumba (ana bill ya mayai ya mtoto kila mwezi.
ONGEZA NA NYINGINE …
Hicho ndo kipimo cha IQ za watanzania … hawana sababu za msingi kwa yale wanayoyatolea maamuzi. Kama na wewe ni wa hivyo … BADILIKA.