ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,033
- 3,913
Kuna swali najua watu wanajiuliza na mimi pia najiuliza.
Je Tanganyika IPO lakini haina Serikali yake au Tanganyika Haipo kabisa?
Je Ulipoundwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Tanganyika Ilifutwa kabisa?Ilifutwaje?
Naomba kama kuna ambaye ana taarifa za uhakika kabisa maana nikisoma kwenye Katiba naona kama vile Tanganyika haikufutwa lakini in practice kama vile ilifutwa.
Nataka kujua tu ni kiongozi gani ambaye ni mkuu kimaamuzi katika masuala ya Tanganyika Kama Tukimuondoa Rais wa Muungano ambaye anahusika Kote? Je ni Makamu wa Rais? Je ni Waziri Mkuu? Je ni Spika wa Bunge au ni nani?
Je Tanganyika IPO lakini haina Serikali yake au Tanganyika Haipo kabisa?
Je Ulipoundwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Tanganyika Ilifutwa kabisa?Ilifutwaje?
Naomba kama kuna ambaye ana taarifa za uhakika kabisa maana nikisoma kwenye Katiba naona kama vile Tanganyika haikufutwa lakini in practice kama vile ilifutwa.
Nataka kujua tu ni kiongozi gani ambaye ni mkuu kimaamuzi katika masuala ya Tanganyika Kama Tukimuondoa Rais wa Muungano ambaye anahusika Kote? Je ni Makamu wa Rais? Je ni Waziri Mkuu? Je ni Spika wa Bunge au ni nani?