Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,138
Ni siku fulani nzuri na tulivu, ikichagizwa na weekend kuingia
Moja kwa moja kwenye mada,
Ni hivi, ukiwa kama mwanaume halafu ukaletewa malalamiko na Dada yako wa damu yaani tumbo moja.
Kuwa hapati huduma muhimu toka kwa mumewe ambaye ni shemeji yako,namaanisha Chakula kizuri,mavazi na vitu vidogo vidogo vingi.
Ukaamua kumshauri Dada yako kwamba atulie/avumilie pengine jamaa anapitia nyakati ngumu kidogo hasa ukizingatia gharama za maisha zimeongezeka
Unaamua kumtetea mwanaume mwenzio huku ukiendelea kutoa msaada kadri ya uwezo wako kwa Dada yako,maana damu ni nzito kuliko maji.
Mwisho wa siku ukagundua jamaa ana mwanamke mwingine, mbaya zaidi wamekuwa wakitumbua pesa ovyo, bila msaada kwa familia yake halisi
Halafu dada yako hajui kinachoendelea, ukaamua kupiga kimya dada yako asijue huku ukimuhimiza azidi kumuelewesha mumewe hali ya hapo kwake.
Je, wanajamvi ni hatua ipi inapaswa ichukuliwe,
Kumbuka Kuna magonjwa, kusambaratika kwa familia na mengine mengi
Kumwambia dada pengine haiwezekani maana wanandoa wanajulikana usije aibika baadaye
Michango yenu ni muhimu.
Moja kwa moja kwenye mada,
Ni hivi, ukiwa kama mwanaume halafu ukaletewa malalamiko na Dada yako wa damu yaani tumbo moja.
Kuwa hapati huduma muhimu toka kwa mumewe ambaye ni shemeji yako,namaanisha Chakula kizuri,mavazi na vitu vidogo vidogo vingi.
Ukaamua kumshauri Dada yako kwamba atulie/avumilie pengine jamaa anapitia nyakati ngumu kidogo hasa ukizingatia gharama za maisha zimeongezeka
Unaamua kumtetea mwanaume mwenzio huku ukiendelea kutoa msaada kadri ya uwezo wako kwa Dada yako,maana damu ni nzito kuliko maji.
Mwisho wa siku ukagundua jamaa ana mwanamke mwingine, mbaya zaidi wamekuwa wakitumbua pesa ovyo, bila msaada kwa familia yake halisi
Halafu dada yako hajui kinachoendelea, ukaamua kupiga kimya dada yako asijue huku ukimuhimiza azidi kumuelewesha mumewe hali ya hapo kwake.
Je, wanajamvi ni hatua ipi inapaswa ichukuliwe,
Kumbuka Kuna magonjwa, kusambaratika kwa familia na mengine mengi
Kumwambia dada pengine haiwezekani maana wanandoa wanajulikana usije aibika baadaye
Michango yenu ni muhimu.