Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kama mnavyojua ndugu zangu maisha popote lakini pia tunasema maisha ni kutafuta sasa turudi ktk mada yetu msingi kama mnavyojua kwa hali tuliokuwa nayo muda wa kutafuta kazi uliyoisomea umeshapitwa na wakati
Sasa turudini kwenye hoja hoja je unawezaje kupata kazi ambayo hujaiaomea????
Sasa turudini kwenye hoja hoja je unawezaje kupata kazi ambayo hujaiaomea????