Unawezaje kupata kazi ambayo hujaisomea na wala huna ujuzi nayo?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kama mnavyojua ndugu zangu maisha popote lakini pia tunasema maisha ni kutafuta sasa turudi ktk mada yetu msingi kama mnavyojua kwa hali tuliokuwa nayo muda wa kutafuta kazi uliyoisomea umeshapitwa na wakati

Sasa turudini kwenye hoja hoja je unawezaje kupata kazi ambayo hujaiaomea????
 
Kama mnavyojua ndugu zangu maisha popote lakini pia tunasema maisha ni kutafuta sasa turudi ktk mada yetu msingi kama mnavyojua kwa hali tuliokuwa nayo muda wa kutafuta kazi uliyoisomea umeshapitwa na wakati

Sasa turudini kwenye hoja hoja je unawezaje kupata kazi ambayo hujaiaomea????
Mie nilipomaliza chuo ngaz ya chet nikawa nasubir muda niende diploma siku moja nikaenda sehem kuomba kazi ya kujitolea yoyote tu..nikafanikiwa kupata kaz ya kutafsir habar kutoka kingereza kwenda kiswahil kipindi kile bbc swahili haikuepo.hapo ndiyo ukawa mwanzo wa kufanya kazi ambayo sijaisomea na nimejikuta sasa nimejiajir na kaz hiyohiyo japo sina chet mpaka leo
 
Kama mnavyojua ndugu zangu maisha popote lakini pia tunasema maisha ni kutafuta sasa turudi ktk mada yetu msingi kama mnavyojua kwa hali tuliokuwa nayo muda wa kutafuta kazi uliyoisomea umeshapitwa na wakati

Sasa turudini kwenye hoja hoja je unawezaje kupata kazi ambayo hujaiaomea????
Connection
 
Mie nilipomaliza chuo ngaz ya chet nikawa nasubir muda niende diploma siku moja nikaenda sehem kuomba kazi ya kujitolea yoyote tu..nikafanikiwa kupata kaz ya kutafsir habar kutoka kingereza kwenda kiswahil kipindi kile bbc swahili haikuepo.hapo ndiyo ukawa mwanzo wa kufanya kazi ambayo sijaisomea na nimejikuta sasa nimejiajir na kaz hiyohiyo japo sina chet mpaka leo
Hujanijibu pm yangu dada
 
Ndio unaweza...cha kufanya uwe unaapply tu hata km hujasomea ila hakikisha una sifa ht moja. mfan mm nlishawah kupata kazi ambayo sijasomea sababu ya kujua kutumia computer..
 
Mie nilipomaliza chuo ngaz ya chet nikawa nasubir muda niende diploma siku moja nikaenda sehem kuomba kazi ya kujitolea yoyote tu..nikafanikiwa kupata kaz ya kutafsir habar kutoka kingereza kwenda kiswahil kipindi kile bbc swahili haikuepo.hapo ndiyo ukawa mwanzo wa kufanya kazi ambayo sijaisomea na nimejikuta sasa nimejiajir na kaz hiyohiyo japo sina chet mpaka leo
Nikupongeze kwa uthubutu lakini ulikuwa na kila sababu ya kuwa na cheti, sijui kwanini haukujiendeleza? uliridhika??
 
Nikupongeze kwa uthubutu lakini ulikuwa na kila sababu ya kuwa na cheti, sijui kwanini haukujiendeleza? uliridhika??
Sikupata muda lakin pia kusoma siyo chaguo langu kabisa! Chaguo langu ni kutafuta pesa kwa njia ya akili tu ndiyo maana nililazimika kwa nguvu kubwa sana kutafuta mtaji ili nijiajir leo ukiniuliza hata chet changu cha form four cjui kilipo na kazi ya kuulizwa chet nishakataaga zaman sana
 
Work hard pays mzee, Me ni land surveyor but nimekutana na watu wengi sanaa ambao hawajasoma kabisa hii course na wanafanya kazi vizur kabisa kwenye sekta hii ya upimaji wa ardhi na tunapendaga kuwaita “vishoka”. Ukiwauliza tuu watakwambia kuwa walianza kuwa wasaidizi kama kubeba vifaa, kupanda beacons na mwishoye akaanza kujifunza kutumia kifaa
 
Na a very good example ni kwa wafanyakazi wa viwandani tenaa hivi vya wahindi wengi wao wanafanya kazi zilizo nje ya carrier aliyosomea yeye.
 
Kama mnavyojua ndugu zangu maisha popote lakini pia tunasema maisha ni kutafuta sasa turudi ktk mada yetu msingi kama mnavyojua kwa hali tuliokuwa nayo muda wa kutafuta kazi uliyoisomea umeshapitwa na wakati

Sasa turudini kwenye hoja hoja je unawezaje kupata kazi ambayo hujaiaomea????
Uteuzi
 
Back
Top Bottom