mr_stev001
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 159
- 219
Una rafiki yako, je, ni haki kuwa na no za simu za mpenzi wako? Man au mpenzi wako kuwa na namba za rafiki yako?
Sio sahihiUna rafikiako, je ni haki kuwa na no za simu za mpenzi wako maan au mpenz wako kuwa na no za rafiki ako?
Ni hatari mnooo,mnaweza kuchonganishwaNgumu kumeza hii
Binafsi sipendelei ukaribu wowote na mashemeji hasa wa marafiki. Ni kipengele
Ni kugusa tu mkuu, sijui huwa kuna nguvu gani kwenye hilo.Ni hatari mnooo,mnaweza kuchonganishwa
kila mara uta kuwa una wazajamaa atakuwa anampotia 😀Utakufa preshaa
shukran sana kwakupata majibu kiukweliSio sahihi
🤣🤣eeh nambie kidogo kilikupata nini nduguNgumu kumeza hii
Binafsi sipendelei ukaribu wowote na mashemeji hasa wa marafiki. Ni kipengele
sahihi kabisaaa mkuuuIlitakiwa kuwa hivyo Kwa sabab ni muhim kuwa in touch na mpenz wako na watu wake wakaribu
Kuna changamoto zitatokea utawahitaji
Sema kwenye Karne ya vijana wa hovyo, kesho na kesho kutwa mpenz wako unamuita shemej
Mazoea, kuna namna tu mipaka itavukwa na baada ya hapo mtaharibu.🤣🤣eeh nambie kidogo kilikupata nini ndugu
mm kuna rafiki anguu aliwahi niuliza :huwa unajisikia vibayaa shemej akiniuliziaa ?sikumjibu kituu nikaondokaaMazoea, kuna namna tu mipaka itavukwa na baada ya hapo mtaharibu.
anakuchomekeaa then anatokomeaaNi hatari mnooo,mnaweza kuchonganishwa
Ulifanya vyema kutomjibu ila alipata jibu kwa ukimya wako. Nna jamaa yangu mmoja nimemsaidia sana kwenye mengi, ghafla nikaona ameanza mazoea ya kuuliza na kumuongelea KE wangu, nikashtuka nikahisi kuna namna sio bure kuwa anamuulizia na kumuongelea sana lazima kuna kitu. Haikuisha hata mwezi KE ananiambia jamaa anamtaka. Chanzo ni ukaribumm kuna rafiki anguu aliwahi niuliza :huwa unajisikia vibayaa shemej akiniuliziaa ?sikumjibu kituu nikaondokaa
nahilo ndo tatizoo maana ukaribu ukizii lazima hatma yake itakuw hivyo kuna time bora mtu akuone unawivuu 😕Ulifanya vyema kutomjibu ila alipata jibu kwa ukimya wako. Nna jamaa yangu mmoja nimemsaidia sana kwenye mengi, ghafla nikaona ameanza mazoea ya kuuliza na kumuongelea KE wangu, nikashtuka nikahisi kuna namna sio bure kuwa anamuulizia na kumuongelea sana lazima kuna kitu. Haikuisha hata mwezi KE ananiambia jamaa anamtaka. Chanzo ni ukaribu
Kosa ni kuruhusu huo ukaribu tangu mwanzo.nahilo ndo tatizoo maana ukaribu ukizii lazima hatma yake itakuw hivyo kuna time bora mtu akuone unawivuu 😕
Kama ndie aliyekutambulisha kwa huyo mchumba kuna shida gani akiwa na namba? Maana hata namba alikupa yeyeUna rafikiako, je ni haki kuwa na no za simu za mpenzi wako maan au mpenz wako kuwa na no za rafiki ako?