SHY
Naahidi kuitunza Bikra yangu ila niko peke yangu nazidiwa nguvu na waliotia nia kuivunja na muko wengi
Wewe unayo?Itunze sana hiyo bikra, ubarikiwe na uzidi kujazwa hekima.
Naahidi kuitunza Bikra yangu ila niko peke yangu nazidiwa nguvu na waliotia nia kuivunja na muko wengi
Ninayo ndugu, naitunza.
Heeeeh!..Mashalaah, itunze daima na milele..
Unaniombea dua mbaya BJ, bikra haitunzwi milele. Umefika wakati muafaka wa kuizindua.
UM Inawezekana milele nimepitiliza ila nilimaaisha itunze kadri uwezavyo. Nimekusoma unasema unaitunza(I hope ni kweli)! Siku ya uzinduzi hutasahau,zindua na umpendae! Maana mapenzi ya kudumu yapo na yanapatikana..Hii ni Dua nzuri
Bikra hutunza na mtu pekee ukitaka ushirikiano ina maana uzinduzi ufanyike. Nguvu lazima zikuzidie maana you are searching for true love..
Idumu Bikra zako zote maana haipo moja!..
Asante kwa article yako..
Ha ha ha ha BJ, why did you there? umenivunja mbavu kweli kweli...LOL! Siku zote unawaza nanino tu!
kigawe kitaliwa na nyenyere....Ninayo ndugu, naitunza.
Asante kwa ushauri, niko tayari kwa uzinduzi, kilichobaki ni kupata wa kuizindua, mwanamke wa kuizindua. Sichagui sura, rangi, kabila, dini, kiwango cha elimu n.k; ninachojali zaidi ni chemistry baina yetu.
Haya kila la kheri UM!..Kuwa mvumilivu mpaka itokee chemistry baina yako na huyo mwanamke vinginevyo jitunze hivyo hivyo!
are u lesbo?Asante sana, pengine chemistry ni baina yako na mimi. Naomba iwe kheri kama huna mwenza. Kama unaye, basi nitaendelea kuvumilia. Lots of thanks for your concern though.
Asante sana, pengine chemistry ni baina yako na mimi. Naomba iwe kheri kama huna mwenza. Kama unaye, basi nitaendelea kuvumilia. Lots of thanks for your concern though.
Ukweli nina mwenza,nakuombea na wewe upate mwenza maana hamna mtu anayetaka kuwa peke yake (sikiliza hata wimbo wa nobody wants to be lonely-ricky martin christina aguilera). Again, all the best UW!..
Asante kwa kushukuru,you're welcome!
NB:Unaweza kupata mapenzi ya kudumu na yapo!