Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,515
- 52,160
- Thread starter
- #21
Ingia uone utamu wa ngoma ingia kati uicheze sio unaongea ukiwa pembeni, utamu upo na uchungu pia upo Ila uchungu ni mwingi kuliko utamu
Najua ninachokisema Mkuu.
Karibu ndoani