Sigma JF-Expert Member Feb 26, 2011 5,006 1,254 May 31, 2013 #3 Iyo picha yako inanikumbusha Israel-Egypt/Syria war 1973 October 6-----Jan 1974
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 May 31, 2013 #5 Sigma said: Yuko A1 Click to expand... dadavua kidogo mkuu...mimi nabisha
Mama Mdogo JF-Expert Member Nov 21, 2007 2,961 2,138 May 31, 2013 #6 Askari yuko katika sector B1 chini kwenye vichaka kasimama wima na yuko kavaa na kofia
kijiichake JF-Expert Member Oct 13, 2010 284 58 May 31, 2013 #7 Yuko B kasima kajikumbatia kwa mikono kifuani
MPANDA Jr JF-Expert Member Nov 27, 2011 1,295 157 May 31, 2013 #9 Yupo B1 close to C1, pamoja na combat amevaa kofia na ameinamisha kichwa
ARV JF-Expert Member Sep 6, 2011 4,975 6,969 May 31, 2013 #10 Mkuu Mzizi nimepoteza muda mrefu kuichunguza picha sijaona kitu. Tunaomba jibu basi.
ITEGAMATWI JF-Expert Member Jan 26, 2012 5,310 4,040 May 31, 2013 #13 Yahitaji umakini wa kupitiliza kumgundua aisee! A perfect camouflage! YUpo hapo B1 kama walivyokwisha sema wadau hapo juu!
Yahitaji umakini wa kupitiliza kumgundua aisee! A perfect camouflage! YUpo hapo B1 kama walivyokwisha sema wadau hapo juu!
Sigma JF-Expert Member Feb 26, 2011 5,006 1,254 Jun 1, 2013 #14 Amavubi said: dadavua kidogo mkuu...mimi nabisha Click to expand... yep B1
Power to the People JF-Expert Member Jul 11, 2007 1,198 892 Jun 3, 2013 #16 B1 ni ngumu kumuona lakini sintoshangaa kwa wanajeshi wengine kutambua kwamba hapo kuna mtu. watu wanajua kuyasoma mazingira anayowazunguka.
B1 ni ngumu kumuona lakini sintoshangaa kwa wanajeshi wengine kutambua kwamba hapo kuna mtu. watu wanajua kuyasoma mazingira anayowazunguka.
ARV JF-Expert Member Sep 6, 2011 4,975 6,969 Jun 7, 2013 #17 Mkuu mi nimeshindwa kabisa kumuona au natakiwa nivae miwani gani?
morphine JF-Expert Member Jan 26, 2012 3,492 1,069 Jun 7, 2013 #19 Anaweza kuwepo ila wakati hii picha inapigwa itakua alienda kukata gogo pembeni kdg. Maana nishazoom weeeee sioni kitu wajameni.
Anaweza kuwepo ila wakati hii picha inapigwa itakua alienda kukata gogo pembeni kdg. Maana nishazoom weeeee sioni kitu wajameni.
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,910 11,306 Jun 7, 2013 #20 kama sio MMM ningeuvaa mkenge... mie niliona A1 tena kule juu kama wako kwa mbaaali