Raymond Mshana wa Wasafi yupo wapi?

itakiamo

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
598
1,005
1707410376371.png

Nauliza Raymond Mshana yupo wapi, nilikuwa nakubali Sana uwepo wake pale The Switch Wasafi FM, siku hizi naona makelele tu. Kama yupo kituo chochote cha redio naomba mnifahamishe
 
Na hizi ndevu atakuwa kasajiliwa na Hamas.Anyway usikute ww Ndio huyo Jamaa unatushosha tu na maswali wakati unajua kibarua kimeota nyasi
 
Back
Top Bottom