Siyo kwa nchi za Afrika. Uende vitani, urudi umekuwa mlemavu halafu baada ya muda kuna mtu kabinafsisha bandari kwa waarabu milele (wanasema mkataba). Mkataba gani hauna ukomo? Kuna watu wanalipwa mshahara kwa kazi hiyo, atakayenilazimisha atakuwa wa kwanza kumlamba risasi kwanza.Watu watalipambania taifa lao. Maana hapo humpambanii kiongozi bali ardhi yenu na urithi wenu.
Labda kama tutaongozana na wanasiasa Wala nchi pamoja na watoto zao sio nikafe huko huku wengine wanagawana kekiHapa moja kwa moja tunaongelea uzalendo juu ya taifa lako, tukiangalia mfano mkuu katika Vita Kati ya Urusi na Ukraine, bwana Putin akitoa voluntary na mwisho wa siku ikawa lazima. Vipi kibongo bongo wewe unaweza kujitoa?