Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,401
- 9,787
Mbona makipa wa Pamba wameshatajwa hapo juu kuwa ni Madata Rubigisa ambaye alifukuzwa baada ya kupokea pesa kutoka kwa Malindi fainali ya Klabu bingwa Tanzania Mwanza nzima ilizizima na Paul Rwechungura ndio alikaa sana kwenye timu na sijui kama ni yeye au vipi Jina lake nililiona kwenye list ya watu waliokufa kwenye meli ya Mv Bukoba.Kaka kwa kweli upo juu kuna huyo kwenye red jamaa alikuwa noumer...nadhani pia alikuwepo Juma Amir kama sikosei...David Mwakalebela hakuwa kwenye hicho kikosi kabla ya kwenda yanga? Kipa wao alikuwa anaitwa nani?
Pamba ndio Timu Yangu hata leo ikifufuka na mimi nimo ila kwa sasa sifuatilii kabis ligi ya kibongo baada ya Pamba kushuka