Ukikuna korodani kwa taratibu na taadhima, huku ukitafakari..Naona inakaa poa sana kwa mwanaume kuangalia mda mkono wa kulia huku mkono wa kushoto upo ndani ya mfuko wa suruali.
Usibane sana mkanda wa saa.Mimi navaa kushoto, lakin baada ya kuvaa sana saa mkono wa kushoto sasa hiv mkono una kama alama hiv, yaani ile sehem ya mkono imekua white tofauti na sehem nyingine ya ngozi.
Hii inakaaje wakuu inaweza kuniletea shida yeyote kiafya ?
Shukran mkuuUsibane sana mkanda wa saa.
kuhusu madhara ya kiafya tungoje wajuvi waje hapa tupate faida.
Hii nimeipenda imewai kunitokea.Saa inavaliwa kutokana na mkono mtu anaotumia sana. Kama mtu anatumia mkono wa kulia (Right Handed) sana basi saa anavaa mkono wa kushoto. Na kama mtu anatumia mkono wa kushoto (Left Handed) sana basi saa anavaa mkono wa kulia.
Hii inatokana na hatari ya kuivunja, kuiharibu au kuichakaza saa yake.
#Sio Lazima Kufuata Principle Hii.
Ilikuwa ni uoga wako tuuNilikuwa navaa saa mkono wa kushoto nilibadilisha baada ya kuona wanawake wengi wanavaa mkono huo niliamua kuvaa mkono wa kulia mpaka sasa.
Sababu kubwa iliyonifanya nibadilike ni mpenzi wangu pia anavaa mkono wa kushoto na anaigeuza sehemu ya kuangalia mda inakuwa kiganjani, huangalia muda kila baada ya masaa kadhaa ya kazi kupita sasa jinsi anavyoangalia anavutia sana, niliona huu kumbe ni mkono wa kike nilivua saa yangu na kuivaa mkono wa kulia.
Ni mtazamo wangu tu, wenzangu sijui kwanini wanavaa mkono wa kulia au kushoto!
Mkono wa kulia navaa saa,mkono wa kushoto navaa bracelet au curlture.
Mimi binanafsi napenda zaidi kulia kuliko kushoto,hata wallet naweka mfuko wa kulia,nikitembea barabarani pia natembea upande wa kulia.
Ukiona mtoto wa kike anavaa saa, jua huyo ni high class.Me navaa kushoto naona inanikaa poa zaidi
Hahaha watoto wa kike wengi tu mbona tunavaa tena na sikuhizi kuna smart watch basi hadi rahaUkiona mtoto wa kike anavaa saa, jua huyo ni high class.
Ndio nini hizo?Hahaha watoto wa kike wengi tu mbona tunavaa tena na sikuhizi kuna smart watch basi hadi raha
ππππππhebu ngoja kwanzaNdio nini hizo??
Hii ni kweli?Wanaovaa saa mkono wa kulia no wale wamefiwa na wazazi wao wa kiume