frenderPH
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 622
- 822
- Thread starter
- #21
Tofauti ni ipi hapoKuna tofauti Kati ya HIV na UMEME shauli yako![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ni ipi hapoKuna tofauti Kati ya HIV na UMEME shauli yako![]()
We acha tu nimetandika jamvi tujifunzeHa ha ha ha
kumbe mupo wengi tu
Hii yako mbn kaliTafuta pesa kwa bidii, ukiwa na pesa confidence huja automatically
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeme unasogodoa haswahaswa HIV unakuwanayo hlf hata unaweza usijulikane😜😜 ila umeme kutapika mara 62 kwa wiki kukonda Kama mdenge,mapunyeni mpaka kwenye ini!!
Dam imeshachemka sasa tatizo nnaona aibu sana nnaogopa... sasa sijui nifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanipe ambacho sinaunataka kuacha kuwaogopa ili wakupe nini...? siajabu nawewe wanakuogopa
Kama nakuona vile unavyo inama chini kwa ainu kama kuku..uku uki ng'ata ng'ata kucha
Sent using Jamii Forums mobile app




bro hali ngumu huu ndo mtiani mkubwa kwanguYote yale yale sema tu ni uoga na inategemeana baina ya mtu na mtuUmeme unasogodoa haswahaswa HIV unakuwanayo hlf hata unaweza usijulikaneila umeme kutapika mara 62 kwa wiki kukonda Kama mdenge,mapunyeni mpaka kwenye ini!!

