Mnaofanya kazi mbali na wake zenu

Mnaofanya kazi mbali na wake zenu

isayaj

Senior Member
Joined
May 10, 2022
Posts
156
Reaction score
150
Natumaini wazima wa afya huko mliko, niende moja kwa moja,

Ndoa zina mambo mengi sana, kuna mda kama kijana naogopa siku nikiingia kwenye kifungo hiki. Nimepanga na jirani yangu hapa nahisi anafanya kazi za magari yanayovuka mipaka ya Tanzania.

Jamaa anamaliza miezi haonekani mke wake mpole ila analiwa kila siku huku, sipendi kufatilia maisha ya watu ila nimeona nimshitue kama yupo humu ajue mkewe anapigwa muda huu wahuni wanakamia wake zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume popote kambi wewe unataka ukae nyumbani daily hiyo sio kinga ya mke wako kutokusaliti.

Madereva wanaenda Kongo miezi 3, Mabaharia wanakaa nje ya nchi miezi 6/9/12, kuna wadau wapo Msumbiji zaidi ya miaka 3 hawawazi hilo wazo la mke kusaliti.

Chagua mapenzi au maendeleo
 
Kwahio watu waache kazi walinde wake zao?

Ishi na mke wako sehemu unayofanyia kazi.
Maana ya ndoa sio kuishi mbali mbali.

Mke ni ubavu wa mume.. wanapaswa wawe pamoja kupeana mahitaji yao
 
Mwanaume popote kambi wewe unataka ukae nyumbani daily hiyo sio kinga ya mke wako kutokusaliti.

Madereva wanaenda Kongo miezi 3, Mabaharia wanakaa nje ya nchi miezi 6/9/12, kuna wadau wapo Msumbiji zaidi ya miaka 3 hawawazi hilo wazo la mke kusaliti.

Chagua mapenzi au maendeleo
Nkiwa baharia bora niwe mtu wa mbupu tu no kuoa
 
Ndoa za kuishi mbali mbali ni NDOA HEWA.

Ndoa za kusafiri muda mrefu na kuwa mbali na mke ni nusu ya NDOA HEWA

mababu zetu hawakuwa na huo ujinga
sema hii inatokana na Kaz unazofanya ukute kazi zako za kutokatoka utaacha ubaki na mke nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumaini wazma wa afya huko mliko niende moja kwa moja ndoa zina mambo mengi sana kuna mda kama kijana naogopa siku nikiingia kwenye kifungo hiki nmepanga na jirani yangu hapa nahisi anafanya kazi za magari yanayo vuka mipaka ya Tanzania jamaa anamaliza miezi haonekan mke wake mpole ila analiwa kila siku huku sipendi kufatilia maisha ya watu ila nimeona nmshitue kama yupo humu ajue mkewe anapigwa mda huu wahuni wanakamia wakezenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi yako inanunuliwa na DP World we unafwatilia vipapa vya watu? Hovyo sana.
 
Natumaini wazma wa afya huko mliko niende moja kwa moja ndoa zina mambo mengi sana kuna mda kama kijana naogopa siku nikiingia kwenye kifungo hiki nmepanga na jirani yangu hapa nahisi anafanya kazi za magari yanayo vuka mipaka ya Tanzania jamaa anamaliza miezi haonekan mke wake mpole ila analiwa kila siku huku sipendi kufatilia maisha ya watu ila nimeona nmshitue kama yupo humu ajue mkewe anapigwa mda huu wahuni wanakamia wakezenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!!
 
Natumaini wazma wa afya huko mliko niende moja kwa moja ndoa zina mambo mengi sana kuna mda kama kijana naogopa siku nikiingia kwenye kifungo hiki nmepanga na jirani yangu hapa nahisi anafanya kazi za magari yanayo vuka mipaka ya Tanzania jamaa anamaliza miezi haonekan mke wake mpole ila analiwa kila siku huku sipendi kufatilia maisha ya watu ila nimeona nmshitue kama yupo humu ajue mkewe anapigwa mda huu wahuni wanakamia wakezenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani anaeliwa sasa mkewe au huyo jamaa we jirani yako ni mwanaume au mwanamke
 
Back
Top Bottom