Kwa kuongeza tu, chumvi, ndimu na nyanya huwa haziwekwi kwenye mtori.... na nyama zinazotumika ni za mifupa especially bone marrow, na zile zenye mafuta.Huo ni mtori "modified" orijino, hauwekwi nazi wala bizari wa Thomu na Tangawizi.
Mkuu umenisababishia njaa!