nkyandwale
Member
- Feb 8, 2011
- 64
- 14
Nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wasemavyo, muda huu ni wa kuuaga mwili wa marehemu.
Hebu tuwekane sawa! Je, inawapasa wasemeje ili kuuondoa utata wa lugha! Tafadhali dadafueni kauli hiyo.
Hebu tuwekane sawa! Je, inawapasa wasemeje ili kuuondoa utata wa lugha! Tafadhali dadafueni kauli hiyo.