Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
2021 ulikuwa mwaka mwema kwangu namshukuru Mungu kwa yote aliyonitendea mwaka huu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hongera sana dada mkuu2021 ulikuwa mwaka mwema kwangu namshukuru Mungu kwa yote aliyonitendea mwaka huu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ameen na ukawe mwaka wa heri🙏Natamani nilie kwanza kabla sijaandika chochote ila enwei,.!
been through a lot but still I have the courage to say THANK YOU LORD, Mwenyezi Mungu kanipa kuwa hai mpaka Leo, kaniepusha na mengi mno, kanipigania kwa mengi sana sana, nimeuona mkono wake 2021, Na ninaamini 2022 nitapokea kutoka kwake pia na zaidi..!!
ulifyonza yanini tukumbuke unapopanga Mungu nae anapanga.Nilikaa jana nikautafakari kwa baadhi ya mambo ambayo nilijipa 100% kuyafanikisha huu mwaka lakini baada ya hapo nikajikuta nafyonza na kuinuka nilipokuwa nimekaa nikaenda zangu kulala.
Ndio maisha mkuu tushukuru kwa yote.Huu mwaka niliuanza vibaya sana. ulivyofika katikati nikaanza kupata mwanga fulani na mafanikio kadhaa.
Kuanzia mwezi wa 11 hadi 12 tarehe 10 mambo yalikuwa mazuri sana nikaanza kufikiria nitafute hata kiwanja niweke hata msingi, Hapa mwishoni mambo yamechenji huwezi amini.
yote kwa yote ninamshukuru mwenyezi mungu natumai 2022 utakuwa mwaka wa neema kwetu sote.