OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
kaka angu niliingia choo cha kiume jamani
Umenishitua ati! !!!!!
U gud mamy????
kaka angu niliingia choo cha kiume jamani
Kweli kabisa mkuu nakusapoti, maana Big Cola unakunywa na kusaza!Big cola
Mimi nichague ipi hapo? maana mimi mwenyewe ni big cola ila nataka nijipunguze niwe japo pepsi
Mimi ili kupata ladha nzuri huwa nachanganya zote hizo..
Lakini tamuUtatengeneza sumu shauri yako...
Utatengeneza sumu shauri yako...
Hahahaha wewe ni mpnz wa kunywaji gani?
Huyu atakua Azam Cola bila shaka!
Nimeipenda hii....hebu chukua ya shavu...mwaaaaa