Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Kipara changu kina miaka 10 sasa kimeshakua sugu kichwani tofauti Na hicho cha mwanao ndio kimeanza hakijakua sugu sijui kitapona
 
Kipara changu kina miaka 10 sasa kimeshakua sugu kichwani tofauti Na hicho cha mwanao ndio kimeanza hakijakua sugu sijui kitapona

Jaribu, utafanikiwa tu.

Wengi huingia uvivu na kuacha njiani, inatakiwa wiki sita mfululizo kila siku halafu baada ya hapo kila wiki mara moja ku maintain. Utafurahia matokeo.

Kama hujaona mabadiliko tunarudisha pesa zako.
 
Zainab kwa moshi takupataje daah kwani mie kuna dalili za kipara japo sikipendiii 0764012423
 
Wadau wote,

Tunapenda kuwajulisha kuwa mpaka sasa tumeshasajili wana saccos zaidi ya 40 na tunaendelea kusaiili wana saccos wapya kila kukicha, kutoka sehemu mbali mbali za Tanzania na duniani kwa ujumla. Diaspora wengi wameanza kuitikia mwito wetu.

Pia tunapenda kuwafahamisha kuwa yeyote ataeungana nasi kwa sasa, tutamuingiza katika group letu jipya la "Biashara Vitendo SACCOS" (licha ya lile la "Vitendo SACCOS") ambalo unaungwa automatically unapojiunga tu na SACCOS yetu mpya.

Humo utaweza kutangaza biashara zako binafsi nasi pia tutasaidia kuzitangaza tena kwenye mitandao ya kijamii na baadae tutaziweka kwenye website yetu itakapokuwa tayari.

Karibuni sana wadau.

Ada ya kiingilo kwa sasa ni shillingi 10,000 (elfu kumi) ambazo zitatumwa kwa Mwenyekiti wa muda kwa njia ya Mpesa. Namba ni 0756803528 jina Ghafur Abdallah Mohamed.

Unaweza kupitia hapa: Fursa ya kukopa kukopesha kwa faida bila riba
 
Nimewahi kuiona na kuisoma hiyo clay ya dead sea.

Ninachoweza kukwambia, hii clay yetu imeonesha mafanikio makubwa sana kwa matatizo yote ya ngozi. Inatibu mapele, fungus, mba, utangotango, moto, chunusi, vidonda sugu, sugu na mipasuko ya miguu, kukatika kucha, fungus za vidole.

Na zaidi ya hapo ni mzuri sana kwa kufanyia facial na scrubbing, inasafisha mwili wote, inatibu kikwapa, inazuia kukatika kwa nywele, inaotesha nywele mpya kwa haraka, inafanya ngozi mwilini na usoni kuwa nyororo. Na mengi mengine.

Hivi karibuni tunakuja na sabuni zake ambazo tupo mbioni kuzifanyia majaribio.
Aiseee nina fungus za huku chini zinanitesa sana nimeshatumia dawa hizi za kwenye tube lkn bado,huu udongo unaweza ukanisaidia aunt Zainab
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom