Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 578
- Thread starter
- #601
Nakuja mkuu mimi shida yangu ni upara aisee unaninyemelea
Karibu sana.
Nakuja mkuu mimi shida yangu ni upara aisee unaninyemelea
Ila mimi nataka majaribio yaani nilipe baada ya matibabu nikijiridhisha kuponaKaribu sana.
Ila mimi nataka majaribio yaani nilipe baada ya matibabu nikijiridhisha kupona
We nawe wasiwasi mwingiiii basi baki na kipara chakoNina Kipara na nimeshatumia bidhaa nyingi lkn wapi, bila shaka we ni muislam na ni ijumaa leo ndani ya mwezi mtukufu, unauhakika na hichi ulichoweka hapa, watu tumeshatapeliwa sana na vipara vyetu vikageuzwa mitaji aisee
Kibaha sehem ganUkinunua kwetu ni 3,500 kwa mkebe (tupo Kibaha, mkoa wa pwani). Ukinunua kwa mawakala hapo Dar ni 5,000 kwa mkebe na unalipia usafirikama utataka home delivery. Piga 0622042778 au 0788782153 kwa Dar.
Kibaha sehem gan
Upande wa zahanati...ukipita kwa mkuu wa JKT aliestaafuKibaha Misugusugu shule ya msingi, mtaa wa Vitendo. Ukifika shule tupigie 0769302206 au 0625249605/6 tutakuelekeza.
Upande wa zahanati...ukipita kwa mkuu wa JKT aliestaafu
Dose ni muda gan?Njia hiyohiyo, moja kwa moja mpaka kwetu, kama unaelekea Mleleguo, ingawa kwa sasa hiyo njia kubwa haipitiki kwa gari kwa kujaa madimbwi lakini kuna njia mbadala.
Karibu sana.
Dose ni muda gan?
Kipara changu kina miaka 10 sasa kimeshakua sugu kichwani tofauti Na hicho cha mwanao ndio kimeanza hakijakua sugu sijui kitapona
Nywele kukatika...kipara kinachoanza na mmbaKwa ajili ya nini? Maana huu udongo wetu unatumika kwa matatizo tofauti mwilini na kichwani.
We nawe wasiwasi mwingiiii basi baki na kipara chako
Aiseee nina fungus za huku chini zinanitesa sana nimeshatumia dawa hizi za kwenye tube lkn bado,huu udongo unaweza ukanisaidia aunt ZainabNimewahi kuiona na kuisoma hiyo clay ya dead sea.
Ninachoweza kukwambia, hii clay yetu imeonesha mafanikio makubwa sana kwa matatizo yote ya ngozi. Inatibu mapele, fungus, mba, utangotango, moto, chunusi, vidonda sugu, sugu na mipasuko ya miguu, kukatika kucha, fungus za vidole.
Na zaidi ya hapo ni mzuri sana kwa kufanyia facial na scrubbing, inasafisha mwili wote, inatibu kikwapa, inazuia kukatika kwa nywele, inaotesha nywele mpya kwa haraka, inafanya ngozi mwilini na usoni kuwa nyororo. Na mengi mengine.
Hivi karibuni tunakuja na sabuni zake ambazo tupo mbioni kuzifanyia majaribio.
Aiseee nina fungus za huku chini zinanitesa sana nimeshatumia dawa hizi za kwenye tube lkn bado,huu udongo unaweza ukanisaidia aunt Zainab
No yako plsUtakuponesha kabisa si kukusaidia tu.
Kama haujapona money back guarantee.