Singida: Aunt Zainab's 100% Natural Super Clay

Zainab Tamim

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
1,293
578
Sasa udongo wa Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Singida. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote.

Kwa maelezo zaidi usome hapa (bofya link):

https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/793264-kwa-wanaume-na-wanawake-udongo-natural-unaolainisha-ngozi-sasa-unapatikana.html

https://www.jamiiforums.com/matanga...na-zaidi-aunt-zainabs-natural-super-clay.html

https://www.jamiiforums.com/jf-doct...ara-jionee-maajabu-ya-natural-super-clay.html


Singida

Iddi Amin - 0713 851 234
 
Udongo (100% Natural) wa asili, Zainab's Natural Super Clay, mzuri sana kwa ajili ya kulainisha ngozi ya usoni na mwilini na kufanya ngozi iwe nyororo na ya kupendeza, sasa unapatikana sehemu nyingi.

Udongo huo wa asili ni wa hapa Tanzania, hauna madhara mwilini, umekuwa ukitumika na baadhi ya makabila ya Tanzania kwa miaka na miaka kulinda na kufanya ngozi zao ziwe za kuvutia.

Udongo sasa tumeweza, kuusaga kuwa kama poda na kuuchuja michanga na unaweza kuupaka kiurahisi zaidi kwenye ngozi baada ya kuuchanganya na maji.

Matumizi

Scrubbing, unaweza kujipaka usoni na au mwililini baada ya kuukoroga na maji safi na kuuwacha ukauke mwilini au usoni na kufanya scrubbing kama kawaida.

Masking, unaweza kujipaka usoni au mwilini baada ya kuukoroga na maji safi na ukauacha kama mask na baada kuuosha.

Face Wash, unaweza kuutumia kama face wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za usoni na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona uso unavyokuwa laini na mvuto.

Body Wash, unaweza kuutumia kama body wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za mwilini na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona ngozi inavyokuwa laini na mvuto.

Massage, unaweza kutumia kwa kufanyia massage mwilini, udongo ni laini na unatelezza kama sabuni baada ya kuuchanganya na maji safi, faida za kufanyia massage ni utavipata vyote hivyo juu.

Sun Protection, unaweza kuutumia kama sun protection kwa wale wale wanaofanya kazi za juani kwa muda mrefu, unachanganya na maji safi unajipaka na baada ya shughuli zako unanawa tu, inasaidia kulinada ngozi ya ko na jua, vumbi, na kuifanya iwe mororo na yenye nguvu.

Udongo huu ni mzuri sana na huwezi kuusifia zaidi mpaka uutumie.

Wanawake na wanaume wanaojali ngozi zao na muonekano wao wanaweza kutumia udongo huu. Na wale wenye tatizo lolote la ngozi hili ndiyo suluhisho asili "natural", hakuna mbadala.
 
ClayMask.jpg


What is it?
An ancient remedy, used as a detoxifier for centuries for a number of different ailments (More info).
It's a very fine powder, derived from volcanic ash.

A number of high end spa brands actually use this as a base for treatment masks in their facials.

Now in Tanzania at affordable prices.

About the Product



  • World's most powerful facial
  • Deep pore cleaning
  • 100% natural clay
  • Does not contain: Additives, fragrances, animal products


Be proud, its a product of Tanzania. 100% Natural.

Hii bidhaa ni kama ndoto na nzuri hata kwa wenye allergy ambao hawawezi kutumia masks na kufanya facials kwa dawa zenye kemikali.

Pitia hapa kwa maelezo zaidi:
https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/793264-kwa-wanaume-na-wanawake-udongo-natural-unaolainisha-ngozi-sasa-unapatikana.html
 
Mwenye tatizo kama hili, sasa ndiyo kikomo:



Aunt Zainab's Natural Super Clay imewasaidia wengi sana kuondokana na tatizo la vipele na chunusi za ndevu.

Jivunie bidhaa asili ya Tanzania.​



 
Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.

Nimemjaribu mwanangu mwenyewe ambae alikuwa na kipara kinachokuja kwa kasi, na haya ni matokeo baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kwa wiki nne tu, jionee mwenyewe:

Before

attachment.php

paperclip.png
Attached Thumbnails
 
Udongo (100% Natural) wa asili, Zainab's Natural Super Clay, mzuri sana kwa ajili ya kulainisha ngozi ya usoni na mwilini na kufanya ngozi iwe nyororo na ya kupendeza, sasa unapatikana sehemu nyingi.

Udongo huo wa asili ni wa hapa Tanzania, hauna madhara mwilini, umekuwa ukitumika na baadhi ya makabila ya Tanzania kwa miaka na miaka kulinda na kufanya ngozi zao ziwe za kuvutia.

Udongo sasa tumeweza, kuusaga kuwa kama poda na kuuchuja michanga na unaweza kuupaka kiurahisi zaidi kwenye ngozi baada ya kuuchanganya na maji.

Matumizi

Scrubbing, unaweza kujipaka usoni na au mwililini baada ya kuukoroga na maji safi na kuuwacha ukauke mwilini au usoni na kufanya scrubbing kama kawaida.

Masking, unaweza kujipaka usoni au mwilini baada ya kuukoroga na maji safi na ukauacha kama mask na baada kuuosha.

Face Wash, unaweza kuutumia kama face wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za usoni na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona uso unavyokuwa laini na mvuto.

Body Wash, unaweza kuutumia kama body wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za mwilini na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona ngozi inavyokuwa laini na mvuto.

Massage, unaweza kutumia kwa kufanyia massage mwilini, udongo ni laini na unatelezza kama sabuni baada ya kuuchanganya na maji safi, faida za kufanyia massage ni utavipata vyote hivyo juu.

Sun Protection, unaweza kuutumia kama sun protection kwa wale wale wanaofanya kazi za juani kwa muda mrefu, unachanganya na maji safi unajipaka na baada ya shughuli zako unanawa tu, inasaidia kulinada ngozi ya ko na jua, vumbi, na kuifanya iwe mororo na yenye nguvu.

Udongo huu ni mzuri sana na huwezi kuusifia zaidi mpaka uutumie.

Wanawake na wanaume wanaojali ngozi zao na muonekano wao wanaweza kutumia udongo huu.
 
Kama hauna madhara unawezaje kufanya ngozi laini!?

Inalainisha kuwa nyororo, haitepeti. Ukitumia hata mikunjo kunjo ya ngozi unaiona inafifia inaifanya ngozi kuwa na afya.

Samahani kama ulikuwa hujanielewa.

Karibu sana ujaribu, huu ni udongo mzuri sana kwa ngozi. Nitaleta sifa zake kitaalamu siku za usoni, huko nje wanautumia na unauzwa kwa gharama kubwa sana.

Ni faraja kubwa sana kuwa hapa kwetu upo na sasa tumeweza kuukausha, kwakuwa kwenye vyanzo unapopatikana huwa ni mbichi na huwa na mchanga mchanga na kokoto, tumeweza kuuchuja mchanga na kokoto na tumeweza kuulainisha na kuwa kama poda kabisa na upo katika hali nzuri sana ya kutumika.

Kazi tuliyoifanya ni kubwa sana. Tuunge mkono kwa kuujaribu.
 
Hivi karibuni tumeona kuwa huu udongo unafaa hata kuondosha na kuzuwia vipele vya kiwembe kwa wale wenye kunyoa.

Unaweza kuupaka huu udongo ukawa ndio shaving cream yako, kwani unateleza kama sabuni. Na baada ya kunyoa unaupaka unauwacha kwa muda na kisha unausuuza.
 
Unauza shilingi ngapi na kiasi gani? kwa wateja wanaochukua rejareja?
 
Inalainisha kuwa nyororo, haitepeti. Ukitumia hata mikunjo kunjo ya ngozi unaiona inafifia inaifanya ngozi kuwa na afya.

Samahani kama ulikuwa hujanielewa.

Karibu sana ujaribu, huu ni udongo mzuri sana kwa ngozi. Nitaleta sifa zake kitaalamu siku za usoni, huko nje wanautumia na unauzwa kwa gharama kubwa sana.

Ni faraja kubwa sana kuwa hapa kwetu upo na sasa tumeweza kuukausha, kwakuwa kwenye vyanzo unapopatikana huwa ni mbichi na huwa na mchanga mchanga na kokoto, tumeweza kuuchuja mchanga na kokoto na tumeweza kuulainisha na kuwa kama poda kabisa na upo katika hali nzuri sana ya kutumika.

Kazi tuliyoifanya ni kubwa sana. Tuunge mkono kwa kuujaribu.
Ni pm picha yako plse.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom