Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 578
- Thread starter
- #621
No yako pls
0769302206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No yako pls
Nahitaji No. Yako nikuone whatsApp,0769302206
Nahitaji No. Yako nikuone whatsApp,
nitafunga safari mpaka huko kibaha
Vipi kuhusu mvi za mapema hausaidii kuondosha?
Namba ya Mama Kimijo (korogwe) Haikukamilika.Hiyo hatuna na hatuijui.
Sawa ya kipara ni shilingi ngapi
Nahitaji No. Yako nikuone whatsApp,
nitafunga safari mpaka huko kibaha
Whatsapp tumia hii ya Mzee Abdul (mume wangu) 0625249605
bi Zainabu nakutafuta nijiunge na saccoss,Wadau wote,
Tunapenda kuwajulisha kuwa mpaka sasa tumeshasajili wana saccos zaidi ya 40 na tunaendelea kusaiili wana saccos wapya kila kukicha, kutoka sehemu mbali mbali za Tanzania na duniani kwa ujumla. Diaspora wengi wameanza kuitikia mwito wetu.
Pia tunapenda kuwafahamisha kuwa yeyote ataeungana nasi kwa sasa, tutamuingiza katika group letu jipya la "Biashara Vitendo SACCOS" (licha ya lile la "Vitendo SACCOS") ambalo unaungwa automatically unapojiunga tu na SACCOS yetu mpya.
Humo utaweza kutangaza biashara zako binafsi nasi pia tutasaidia kuzitangaza tena kwenye mitandao ya kijamii na baadae tutaziweka kwenye website yetu itakapokuwa tayari.
Karibuni sana wadau.
Ada ya kiingilo kwa sasa ni shillingi 10,000 (elfu kumi) ambazo zitatumwa kwa Mwenyekiti wa muda kwa njia ya Mpesa. Namba ni 0756803528 jina Ghafur Abdallah Mohamed.
Unaweza kupitia hapa: Fursa ya kukopa kukopesha kwa faida bila riba
umenena aseeeAcha kuongopea. Hizo picha mbili ni za watu wawili tofauti kabisa wajuu ana asili ya kiarabu na ni mzee flani ivi wachini bado young.. Hata kipofu hashindwi kugundua hilo.. Tupe evidence nyingine utuconvice..
Nipigie 0769302206bi Zainabu nakutafuta nijiunge na saccoss,
pia waambie wateja wa ubungo na mbezi bado nina super clay,kama nikiwa sipatikani waache ujumbe(sms)
au watumie 0714893685 ambayo pia ipo whatsapp
Hilo tumelijibu mara nyingi sana. Pitia pitia post.Sisi watalamu wa picha mbona hao ni watu tofauti... Msiibiwe jamani
hahahahaaaaa dah kuna mijitu mijiz,,, kinoma,,hiyo picha ya kwanza na zifuatazo haziendan kabisa
Bukoba hatuna ofisi kwa sasa.Bukoba ofisi zenu ziko maeneo gani?