Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Wadau wote,

Tunapenda kuwajulisha kuwa mpaka sasa tumeshasajili wana saccos zaidi ya 40 na tunaendelea kusaiili wana saccos wapya kila kukicha, kutoka sehemu mbali mbali za Tanzania na duniani kwa ujumla. Diaspora wengi wameanza kuitikia mwito wetu.

Pia tunapenda kuwafahamisha kuwa yeyote ataeungana nasi kwa sasa, tutamuingiza katika group letu jipya la "Biashara Vitendo SACCOS" (licha ya lile la "Vitendo SACCOS") ambalo unaungwa automatically unapojiunga tu na SACCOS yetu mpya.

Humo utaweza kutangaza biashara zako binafsi nasi pia tutasaidia kuzitangaza tena kwenye mitandao ya kijamii na baadae tutaziweka kwenye website yetu itakapokuwa tayari.

Karibuni sana wadau.

Ada ya kiingilo kwa sasa ni shillingi 10,000 (elfu kumi) ambazo zitatumwa kwa Mwenyekiti wa muda kwa njia ya Mpesa. Namba ni 0756803528 jina Ghafur Abdallah Mohamed.

Unaweza kupitia hapa: Fursa ya kukopa kukopesha kwa faida bila riba
bi Zainabu nakutafuta nijiunge na saccoss,
pia waambie wateja wa ubungo na mbezi bado nina super clay,kama nikiwa sipatikani waache ujumbe(sms)
au watumie 0714893685 ambayo pia ipo whatsapp
 
bi Zainabu nakutafuta nijiunge na saccoss,
pia waambie wateja wa ubungo na mbezi bado nina super clay,kama nikiwa sipatikani waache ujumbe(sms)
au watumie 0714893685 ambayo pia ipo whatsapp
Nipigie 0769302206
 
Sisi watalamu wa picha mbona hao ni watu tofauti... Msiibiwe jamani
Hilo tumelijibu mara nyingi sana. Pitia pitia post.

Tunakwenda zaidi ya miaka miwili sasa na product yetu hii unique ni wauzaji pekee wenye money back guarantee kama tiba haijakufaa.

Hatuna sababu za kuiba wala kudanganya. Umetumia maneno makali sana.
 
hahahahaaaaa dah kuna mijitu mijiz,,, kinoma,,hiyo picha ya kwanza na zifuatazo haziendan kabisa

Umetumia maneno makali sana ya kutuita "mijiz" bila hata ya kuwa na yakini na uyasemayo.

Hilo tumelijibu mara nyingi sana. Pitia pitia post.

Tunakwenda zaidi ya miaka miwili sasa na product yetu hii unique ni wauzaji pekee wenye money back guarantee kama tiba haijakufaa.

Hatuna sababu za kuiba wala kudanganya.
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom